Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Anaruhusiwa na sheria, kama unaona wivu kaajiliwe huko nawe!
 
Makada wa ccm ndio mjifunze sasa kwa tukio la leo.msijifanye muda wowote ccm inawageuka.
 
Chaaaa... Mbona mapovu yakheee! Kwa hiyo ukiniita dumb, sijui akili duni, sijui nini automatically inakufanya wewe mwerevu sana kwa mfano... Pathetic!
 
Aah, Maulid Kitenge the negotiator namuona ndani ya koti jekundu.
Ila kiukweli hii haiko sawa, sina uhakika kama hawa jamaa wanajua ethics za kazi zao. Huwezi toa tu bastoli mbele za watu tena ukiwa na lengo la kumuonyesha aliyekuwaga waziri hata masaa kumi hayajapita, haiko sawa kabisa!!
 
Dah hii siku ya leo nimeumia sana nlvyomsikia nape anaongea lakini harmorapa kaniacha hoi ikanibidi tu nicheke daah
 
Hawa ni askari polisi upelelezi siyo wa TISS. Wale wa TISS wanafundishwa vyema na wana adabu na wala hawawezi kutumwa kwenye mission ya wazi namna hiyo.
Soma unielewe kaka, wapo wa TISS ni wajinga huwez kufikiria kama ni wao ingawa ni wachache, walisumbua sana kipindi cha katikati hapo
 
Hawa ni askari polisi upelelezi siyo wa TISS. Wale wa TISS wanafundishwa vyema na wana adabu na wala hawawezi kutumwa kwenye mission ya wazi namna hiyo.
nani kakudangany.hao tss
 
Inanipa wasiwasi mkubwa kumuelewa kama yule ni usalama au ni mamluki ya usalama.

1. Kwanini amekuwa short tempered ndani ya sekunde mpaka kutoa silaha?
2. Nape nI hatari kiasi gani pale?, mpaka kuwe na usalama zaidi ya watatu ambao silaha zao zote zinaonekana kiunoni?
3. Kama ingetokea Nape kugoma, angeweza kutimiza lengo lililomfanya kutoa silaha?
4. kama ilikuwa ni lazima Nape asifike pale, wameshindwa nini kumzuia toka huko barabarani?
 
Afisa usalama yule hakika ametushtua kwa kiasi kikubwa nakumbuka mwaka juzi mitaa flani Mwanza walirushia risasi kati ya askari polisi na afisa usalama mmoja ila wengi nahisi ni "vichaa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…