pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Mkuu kuna ukweli hapa..?maulidi ni usalama pia na ninmkubwa
aise mimi nimeshindwa kushangaa kabisa au na yy ni walewale nn ila amefanya kazi nzuri sana leo?Ukijua ni kwanini ameweza kumtoa utashangaa na kushindwa kuelewa zaidi.
Mkuu kuna ukweli hapa..?
Shikamoo siku nyingi sijakuona humuHiki kitendo kimenisikitisha sana tena sana.
Nape mtafutie wakili huyo askari akafundwe wajibu wake.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]muulize bashite
But of course!Dah!
Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.
Kwangu haki ni haki tu.
Sina hakika na maana ya kusema ni wale wale, ila yeye sioaise mimi nimeshindwa kushangaa kabisa au na yy ni walewale nn ila amefanya kazi nzuri sana leo?
aise duuuu!!!!!Atakakua bosi wao apo
But of course!
Ungesema wewe ni shabiki wa CCM lakini hupendezewi na haya yaliyofanywa leo na serikali ya CCM you would make all the sense!
Wewe sio shabiki wa CCM, of course hatutegemei upende kilichofanywa na watawala leo!
Kitenge kamdhalilisha sana huyo afisa usalama,atajidharau sanaa akijionaKiboko yake Maulid Kittenge ***** mwenyewe kasanda