Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?


Uchambuzi wa ukweli, sasa tunakabidhi kwa January, Ridhwani, Nape na wahuni wengine wote. Watoto wa Mafisadi.

Tugemee kipi kipya.
 
Nape na wenzake walitutesa Sana,tulitembea tukificha jezi zetu.
 
Ndio tatizo kuna kundi flani dogo linafikiri siku zote litawale wenyewe na familia zao, watoto wao.

Wengine wote ni wajinga.
Nape kafanya blunder wala siyo error ! Ajirudi, sisi tuna Tanzania moja hatuna nchi nyingine, yeye kama ana uraia wa nchi zaidi ya moja aende huko kwingine atuachie TANZANIA yetu!
 
#TUUKATAE UHUNI
#TUWAKATAE WAHUNI
#WAHUNI NDIO HAO
 
Mbona hukuyasema haya wakati kundi dogo la kikabila la dikteta likiwa linatamalaki?!!

Kundi hilo lilifanya vizuri sana, Umeme,maji wa kuaminika gani?Mfumuko wa bei kuthibitiwa.

Watu wa kipato chini kupata ridhiki.
Barabara, elimu bure, Afya kupunguza kodi, za umeme kwa muda wote uliziona.

35% wakitalawa nchi yao ndio Nongwa.

Kwenye kundi la wahuni unaona ni sawa wafanye ujinga wowote. Tuwaangalie tu kama sisi wote ni wapumbavu . Tatizo ni ukabila unakusumbua.
 
Nape ni lipigaji kama yule kigogo waliyenpa wizara nyeti na hawa ndio wahuni wa Polepole

Sote tunajua team msoga haipendi wale wanaosema deal zao.
 
Wanyonge ❌❌❌. Hii sio sifa kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…