Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Okay
 
Natangaza rasmi Kumdharau Kabisa Nape Nnauye katika kipindi chake chote alichosaliwa nacho hapa Duniani

Huyu alisababisha bunge lisioneshwe live ili wananchi wasifuatilie.

Hadi Leo bunge halioneshwi mubashara na huenda ni kwa bongo tu kwa Ulimwengu mzima.

Kenya waliweza hadi kujua ni mbunge yupi amepitia mkuria ya ndio muswada wa sheria ya fedha wenye utata
 
!
Ni kweli.
Na mwenye jukumu la kuwaelimisha ndio hataki maana udhaifu wao ndio umamsaidia kuwafanya watakavyo.
Mfumo wa elimu ni
Tatizo ni wananchi kuelimika na kutumia haki zao tu.

Kwani hao wakubwa wa vyombo vya dola wako wangapi?
wa hewala, kusifu na kuabudu ,
Hautoi uwezo wa kuhoji na fikra huru nje ya box.
Hata uamuzi wa kuandikwa kwa Katiba imekuwa ni kwa hisani ya raisi au chama fulani tu badała ya wananchi.

Watatokaje hapo?
 


Huwa nakuelewa @ Tindo
 
Kosa la kwanza ni kufikiri kuna mtu ana jukumu la kuelimisha wananchi.

Kwanza kabisa, kila mtu ana jukumu la msingi kujielimisha mwenyewe.

Serikali ina dhamana na jukumu la kuweka misingi ya elimu hiyo kuwapo.
 
Kosa la kwanza ni kufikiri kuna mtu ana jukumu la kuelimisha wananchi.

Kwanza kabisa, kila mtu ana jukumu la msingi kujielimisha mwenyewe.

Serikali ina dhamana na jukumu la kuweka misingi ya elimu hiyo kuwapo.
Hewalaa!
Hapa ndipo tunapopigiwa
 
Nakubaliana na TUNDU LISSU zaidi ya asilimia 100. Hatupaswi kufanya uchaguzi bila kufanya Marekebisho ya KATIBA NA TUME YA UCHAGUZI.

Maneno haya ya Nape ni ushahidi tosha unaopaswa kuwaamsha kutoka usingizini Watanzania wote na kuanza kuunga mkono maazimio ya CHADEMA kuwa No Reform No Election.

CCM wanatuona wananchi wa hii nchi ni wajinga sana.
 
Iko wazi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…