Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.

Kauli ya Chama ~ CCM yakataa maneno aliyosema Nape kuhusu ushindi wa kura unategemea na anayehesabu kura

Pia, utetezi wake: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

PIA SOMA
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
Muumin dhahir wa bao la mkono.

Karudia tena ule ukweli bila kupindisha - bila ridhaa ya mteuzi wake!
 
Nape safari hii Hatutakubali, Nakuhakikishia kwamba Nchi utaipasua wewe na wenzako, hatutakubali ujinga tena, Waambie kabisa wanaokutuma

Safari hii Patachimbika
Huyu mbona ni mpumbavu sana kichwani? Amevimbiwa maharage ya wapi?
 
Nape amemdhalilisha mama ina maana yeye na CCM hakuna alilofanya kwa nchi hii ili kuweza kushinda kura bila kuiba. Kuna haja gani ya wananchi kujiandikisha kupiga kura hii kauli NAPE aifute vinginevyo amewaweka ccm kwenye hali mbaya ya kusafisha hali ya hewa kisiasa. Lissu alikuwa sahihi kukemea fedha chafu kutoka ccm kwenda chadema. kwa kauli hii, Vyombo vya dola,dini zote na asasi za kiraia vina haja sasa kusimama na wananchi kuitafuta haki katka uchaguzi ujao kabla mambo hajaharibika. watu wamenyong'onyea sana kwa kauli hii. imetonesha vidonda.
Ila haya yashatamkwa na wengi kwa namna tafauti.
"Serikali haitolewi kwa karatasi "
"Goli la mkono"

"Utatangazaje mpinzani kashinda wakati mshahara nakupa mimi "
"Hata mukipigia kura upinzani CCM itaongoza nchi "
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.

Kauli ya Chama ~ CCM yakataa maneno aliyosema Nape kuhusu ushindi wa kura unategemea na anayehesabu kura

Pia, utetezi wake: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

PIA SOMA
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
Huo ndio ukweli wa chaguzi za Tanzania wala Nape hajakosea kitu!
 
Hivi kumbe NEC na Msajili wa vyama wapo!
Huyu ndiye alipaswa kuitwa kwenye kamati ya maadili CCM lakini mmmhh!!
Ifike wakati Rushwa ihalalishwe kila mtu ajue ni haki kutumia chochote ulichonacho kupata unachotaka.
 
Majizi yameanza kuanika siri zao hadharani.

Angeongeka kwenye list hapo sio tu anayehesabu , na kutangaza tu.

Aongeze na msaada wa POLICCM na UsalamaCCM
View attachment 3043880View attachment 3043881
Hii ni Za
Majizi yameanza kuanika siri zao hadharani.

Angeongeka kwenye list hapo sio tu anayehesabu , na kutangaza tu.

Aongeze na msaada wa POLICCM na UsalamaCCM
View attachment 3043880View attachment 3043881
Hii ni Zanzibar bila shaka Huwa Wana siku maalum kwa ajili ya vikosi na majeshi ya ulinzi kupiga kura na humo ndipo watu wanapofanya uharamia waoalafu unawakuta na mikanzu Yao mtaani wakijifanya Wacha Mungu wanaanza kukusumbua kisa tu unakaanga zako nguruwe ndani mwako.
 
Hii ni Za
Hii ni Zanzibar bila shaka Huwa Wana siku maalum kwa ajili ya vikosi na majeshi ya ulinzi kupiga kura na humo ndipo watu wanapofanya uharamia waoalafu unawakuta na mikanzu Yao mtaani wakijifanya Wacha Mungu wanaanza kukusumbua kisa tu unakaanga zako nguruwe ndani mwako.
Utaratibu uliompa Uraisi Hussein Mwinyi. Halafu anabadilisha misikiti kila Ijumaa.
 
Kauli ya waziri yoyote hadharani ndio kauli ya serikali.
Nape amewakilisha serikali na chama chake. Kama kauli Ile sio ya serikali Basi mama amuwadibishe.
Mnakumbuka kauli za kibabe za Bashiru, kwamba usipotumia dola kubaki kwenye dola.
Akasahau kwamba juu Kuna mtetezi wa wanyonge. Yuko wapi Sasa mwana CUF aliyevamia CCM na kujiona yeye Ni ccm zaidi kuliko Kinana na Makamba?
 
Nape achunge mdomo wake na awe anachagur maneno ya kusema kwenye hadhara.Mamlaka ya uteuzi iangalie maadili ya wanaoteuliwa
 
Hii ni Za
Hii ni Zanzibar bila shaka Huwa Wana siku maalum kwa ajili ya vikosi na majeshi ya ulinzi kupiga kura na humo ndipo watu wanapofanya uharamia waoalafu unawakuta na mikanzu Yao mtaani wakijifanya Wacha Mungu wanaanza kukusumbua kisa tu unakaanga zako nguruwe ndani mwako.
Uko sawa kabisa na ndio uhuni unafanyika ona hii kama hii hata haieleweki sare ni za jeshi gani maana ndio wanachanganya na kujirudia.
Hii ni Za
Hii ni Zanzibar bila shaka Huwa Wana siku maalum kwa ajili ya vikosi na majeshi ya ulinzi kupiga kura na humo ndipo watu wanapofanya uharamia waoalafu unawakuta na mikanzu Yao mtaani wakijifanya Wacha Mungu wanaanza kukusumbua kisa tu unakaanga zako nguruwe ndani mwako.
IMG_20201027_171132.jpg
 
Hayo yamesemwa nje ya uchaguzi . Wakati haujafika na wala hayo yaliyosemwa hayajatendeka. Acheni siasa chafu. Mangapi yanaongelewa kwenye majukwaa yenu . MTAENDELEA KUSEMA VICHACHE ambavyo havina TIJA . nguvu wekezeni kwenye SERA BORA , acheni kufanya siasa za MATUKIO . wenzenu ngoma inazidi kusonga mbele . SAMIA NJIA NYEUPE 2025
Una matatizo ya Afya ya Akili?

Kwahiyo Kama nje ya Uchaguzi basi ni sahihi kunena kauli tatanishi na zenye kutishia Amani na Usalama wa nchi na wananchi?

Kwamba hizi kauli hazina Tija?
 
Back
Top Bottom