Nape Nnauye: Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi

Kauli hiyo kwa wale wanaoamini katika Mungu aliye hai Milele na Milele, tokea kauli hiyo isemwe, basi tusingelikuwa tunashuhudia manung'uniko na vilio kila mahali! Badala ya kwenda Kanaani, ndio kwanza tumerudi Misri utumwani, nadhani ndiko tulikozoea! Atatokea Musa mwingine tena? Ni lini na wapi!

Mungu hawezi kuamua ugomvi halafu hali ndo ikaharibika zaidi.

Kinyume Chake ni Mungu alisikia manung'uniko yenu na kisha akaamua kuchukua mtumishi wake ili mbaki na manung'uniko yenu mliyozoea!

Kumkomboa mtu mweusi inahitaji apelekwe kwa mijeredi na marungu ya kutosha!

Sasa tuna kuelewa zaidi Magufuli
 
Serikali ya sasa haivumiliki imezidisha upumbavu wa Hali ya juu.
Si mlitaka Mama afunguwe Nchi!? Haya Sasa Nchi isha funguliwa,kila Mtanzania akatafute Muwekezaji amletee tumpee Mkataba Miaka Mia bila kikomo! Mwendazake alituchelewesha sana au siyo waadau!!??
 
Ooh yule jamaa alikuwa shetani, sasa muda wa kushuhudia shetani kamili ni nani 😀! Hakupandisha madaraja haya sasa mtapandishwa meli airport
 
Lilikua ni suala la Muda tu wote Kwa pamoja wapinzani, wanyonge , Kumkumbuka JPM.

Hii Nchi ,AKIFA jamaa wa Msoga tuu Kila kitu kitakwenda Sawa sawa .

Huyu mtu ni Hatari sana , ni Hatari sana .
Watakao mkumbuka ni walewale tu. Mtu na akili zake timamu kamwe hawezi abadan.
 
Watakao mkumbuka ni wakewake tu. Mtu na akili zake timamu kamwe hawwezi abadan
Wewe hata sikuweki kwenye kundi la mafisadi maana una njaaa, wee ni ama mtu wa vyetu fyeki au kijana tu Mwalimu wa HKL ambaye hujiongezi ,unangoja kuajiriwa wakati kipaumbele ni Sayansi.
 
Kiukweli yule mzee nilikuwa simpendi lakini ndio naanza kujua kwanini alikuwa katili. Kwenye nafasi aliyokuwepo option aliyokuwa nayo ndio hiyo tu ili taifa lisonge mbele.

Hapa kwa bibi tumeshapigwa mnada.
 
Kiukweli yule mzee nilikuwa simpendi lakini ndio naanza kujua kwanini alikuwa katili. Kwenye nafasi aliyokuwepo option aliyokuwa nayo ndio hiyo tu ili taifa lisonge mbele.

Hapa kwa bibi tumeshapigwa mnada.
Hakuna mwenye nafuu hapo.Wote ni CCM.Na ndiyo wenye kuleta dhahma,dhiki na mahangaiko nchini tena kwa makusudi wakijinasibu kwamba mtawafanya nini!?Kila mmoja wao huja kwa mwendo wake ila uumizao.Kazi inabaki kichwani mwako tu.Kulia au kulilia.
 
Kiukweli yule mzee nilikuwa simpendi lakini ndio naanza kujua kwanini alikuwa katili. Kwenye nafasi aliyokuwepo option aliyokuwa nayo ndio hiyo tu ili taifa lisonge mbele.

Hapa kwa bibi tumeshapigwa mnada.
Na Huu ndio ukweli, Rais JPM hakua na uchaguzi mwingine zaidi ya kua mkoloni ,na matokeo yake tuliyaona.



Sasa angalieni, ya 2005 mpaka 2015 Yale ambayo hata mtoto Mdogo alichukizwa nayo, ndio yamejirudia.
 
Wewe hata sikuweki kwenye kundi la mafisadi maana una njaaa, wee ni ama mtu wa vyetu fyeki au kijana tu Mwalimu wa HKL ambaye hujiongezi ,unangoja kuajiriwa wakati kipaumbele ni Sayansi.
Wewe niweke kundi lolote lile, unadhani mimi huwa najali kuhusu maamuzi ya mtu tuwapo mitandaoni? Hata kunifananisha na Mwalimu wa chochote kile mimi naona unawakosea waalimu adabu kwa kunifananisha fala kama mimi na waalimu. Mimi ni sifuri kabisq
 
🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…