Nape Nnauye: Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi

Nape Nnauye: Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi

Nape alitembea kwa miguu kutoka Ocean road mpaka Ikulu kumuomba msamaha Magufuli kwa hiyo chuki zake jamii inajua ni unafiki tu.

Huyu Membe wake hata kijiji cha Rondo alipata kura 50
 
Chuki wanazo wqpumbavu
Mzee wa chato aliamini sana kwenye vitu akasahau umoja wakitaifa ambao ndio uhai wenyewe wa nchi. Kwa mfano machinga walikuwa untouchable kiasi cha kupanga bidhaa mbele ya maduka ya watu. Baadhi ya wateule zake walikuwa na nguvu kiasi cha kutisha viongozi wenzao, kujiona yeye ndio pekee anaeweza kufanya vitu vitikee kiasi cha kusema nikifa mimi sijui nani ataweza. Materialistic leader anakuwa na element za udictator.
 
Mstaafu Mwinyi amewahi kunukuliwa kuwa ' MAISHA NI HADITHI '

Mstaafu Mwinyi akaendelea kusema
BASI TUWE NA HADITHI NZURI ZA KUSIMULIWA BAADA YA MAISHA HAYA

Rais Magufuli alichagua HADITHI YAKE..
Acha asemwe kwakuwa yeye mwenyewe alipokuwa HAI alichagua HADITHI MBAYA YA KUSEMWA
Nenda kwa GROUND ambako ndiko kuliko watu wengi nchini ukasikie jamaa anasemwaje na walio wengi !!!
 
SISI TUJUE KILA TUFANYALO LINA MADHARA KAMA SIO LEO BASI KESHO HIVYO TUWE MAKINI NA MATENDO YETU.
Habarini JF GT…!!!

Jana wakati Membe akirudishiwa kadi ya CCM, Mbunge wa Mtama na Wazari wa Habari nchini aliongea kauli mbaya Sana Na Yenye kufedhehesha kwa Marehemu.

Kwa tamaduni za kitanzia Sio sawa kumsema Marehemu, na hata Ukitaka kumsema Marehemu utamsema kwa Mazuri. Lakini hii imekuwa Tofauti kabisa kwa baadhi ya Wanachama wa CCM na Viongozi wa CCM, wamekuwa Wakimsema Hayati Magufuli Hadharani mbele ya wananchi waliomchagua kwa kura nyingi. Hakika CCM inajiua Yenyewe

Jana Ndugu Nape (Namuita Ndugu kwasababu kwangu mimi sioni kama Anafaa kupewa heshima ya Jina Mheshimiwa) wakati wa Sherehe zile alisimlia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na Yeye alivyo nusurika kufukuzwa CCM na Membe kumsadia, kipindi hicho naamini Magufuli hakuwa Kiongozi mkubwa wa CCM, Nape aliongea kumaanisha kuwa Magufuli alikuwa chanzo kikubwa cha Membe kuondoka CCM na Kutengeneza ugomvi mkubwa na Wana CCM wengine.

Nape akaenda mbali zaidi na Kusema Kuwa Ugomvi huo Mungu ndio ameamua na sasa bahari imetulia iko shwari, akimaanisha Kifo cha Magufuli ni Maamuzi ya Mungu katika Kutatua ugomvi wa Wana CCM na Membe… Akaendelea mbele na Kusema nani Kama Rais Samia Suluhu.

Ikumbukwe kuwa Huu utamaduni uliopo sasa kwa kumsifia rais hata pale anapo fanya Baya ulianza kipindi Cha Magufuli na Umeendelea hadi awamu hii kwa kusema Mama anaupiga mwingi…. Nyakati za Kikwete, Mkapa hakukuwa na huu ujinga.

Turudi kwenye mada, Nape Nauye ni lini Ataacha kuwa na Kinyongo na Marehemu? Nilini ataacha Kumsema Marehemu? Huu umekuwa muendelezo wake toka Awe Waziri tena Wa Habari, Je aliteuliwa kuja Kumsema Marehemu?

Ni wakati sasa Wa Nape kumuacha Marehemu Apumzike Mahali pema na kwa amani… Asitafute chuki na watu zisizo za msingi
Acha wamseme ili walio hai wajifunze.
 
Habarini JF GT…!!!

Jana wakati Membe akirudishiwa kadi ya CCM, Mbunge wa Mtama na Wazari wa Habari nchini aliongea kauli mbaya Sana Na Yenye kufedhehesha kwa Marehemu.

Kwa tamaduni za kitanzia Sio sawa kumsema Marehemu, na hata Ukitaka kumsema Marehemu utamsema kwa Mazuri. Lakini hii imekuwa Tofauti kabisa kwa baadhi ya Wanachama wa CCM na Viongozi wa CCM, wamekuwa Wakimsema Hayati Magufuli Hadharani mbele ya wananchi waliomchagua kwa kura nyingi. Hakika CCM inajiua Yenyewe

Jana Ndugu Nape (Namuita Ndugu kwasababu kwangu mimi sioni kama Anafaa kupewa heshima ya Jina Mheshimiwa) wakati wa Sherehe zile alisimlia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na Yeye alivyo nusurika kufukuzwa CCM na Membe kumsadia, kipindi hicho naamini Magufuli hakuwa Kiongozi mkubwa wa CCM, Nape aliongea kumaanisha kuwa Magufuli alikuwa chanzo kikubwa cha Membe kuondoka CCM na Kutengeneza ugomvi mkubwa na Wana CCM wengine.

Nape akaenda mbali zaidi na Kusema Kuwa Ugomvi huo Mungu ndio ameamua na sasa bahari imetulia iko shwari, akimaanisha Kifo cha Magufuli ni Maamuzi ya Mungu katika Kutatua ugomvi wa Wana CCM na Membe… Akaendelea mbele na Kusema nani Kama Rais Samia Suluhu.

Ikumbukwe kuwa Huu utamaduni uliopo sasa kwa kumsifia rais hata pale anapo fanya Baya ulianza kipindi Cha Magufuli na Umeendelea hadi awamu hii kwa kusema Mama anaupiga mwingi…. Nyakati za Kikwete, Mkapa hakukuwa na huu ujinga.

Turudi kwenye mada, Nape Nauye ni lini Ataacha kuwa na Kinyongo na Marehemu? Nilini ataacha Kumsema Marehemu? Huu umekuwa muendelezo wake toka Awe Waziri tena Wa Habari, Je aliteuliwa kuja Kumsema Marehemu?

Ni wakati sasa Wa Nape kumuacha Marehemu Apumzike Mahali pema na kwa amani… Asitafute chuki na watu zisizo za msingi
Waache wawe na kinyongo majibu yao yapo soon watachekea chooni. End
 
Habarini JF GT…!!!

Jana wakati Membe akirudishiwa kadi ya CCM, Mbunge wa Mtama na Wazari wa Habari nchini aliongea kauli mbaya Sana Na Yenye kufedhehesha kwa Marehemu.

Kwa tamaduni za kitanzia Sio sawa kumsema Marehemu, na hata Ukitaka kumsema Marehemu utamsema kwa Mazuri. Lakini hii imekuwa Tofauti kabisa kwa baadhi ya Wanachama wa CCM na Viongozi wa CCM, wamekuwa Wakimsema Hayati Magufuli Hadharani mbele ya wananchi waliomchagua kwa kura nyingi. Hakika CCM inajiua Yenyewe

Jana Ndugu Nape (Namuita Ndugu kwasababu kwangu mimi sioni kama Anafaa kupewa heshima ya Jina Mheshimiwa) wakati wa Sherehe zile alisimlia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na Yeye alivyo nusurika kufukuzwa CCM na Membe kumsadia, kipindi hicho naamini Magufuli hakuwa Kiongozi mkubwa wa CCM, Nape aliongea kumaanisha kuwa Magufuli alikuwa chanzo kikubwa cha Membe kuondoka CCM na Kutengeneza ugomvi mkubwa na Wana CCM wengine.

Nape akaenda mbali zaidi na Kusema Kuwa Ugomvi huo Mungu ndio ameamua na sasa bahari imetulia iko shwari, akimaanisha Kifo cha Magufuli ni Maamuzi ya Mungu katika Kutatua ugomvi wa Wana CCM na Membe… Akaendelea mbele na Kusema nani Kama Rais Samia Suluhu.

Ikumbukwe kuwa Huu utamaduni uliopo sasa kwa kumsifia rais hata pale anapo fanya Baya ulianza kipindi Cha Magufuli na Umeendelea hadi awamu hii kwa kusema Mama anaupiga mwingi…. Nyakati za Kikwete, Mkapa hakukuwa na huu ujinga.

Turudi kwenye mada, Nape Nauye ni lini Ataacha kuwa na Kinyongo na Marehemu? Nilini ataacha Kumsema Marehemu? Huu umekuwa muendelezo wake toka Awe Waziri tena Wa Habari, Je aliteuliwa kuja Kumsema Marehemu?

Ni wakati sasa Wa Nape kumuacha Marehemu Apumzike Mahali pema na kwa amani… Asitafute chuki na watu zisizo za msingi

Nape Nnauye na Maza Lao ni moja kuhusu marehemu.​

Bora Nape ni mkweli Ana kibali kulisema la rohoni, Maza anapiga kimya.​

Kuna siku Dr Bashiru anasema ukweli kuhusu kifo cha JPM watanzania hawataamini.​

 
Kwaio ni Lini Mungu atatoa hukumu kwenye kesi ye Edo?or ya Mrema maana now anazeeka tu na hukumu haijatoka.
 
Huyo Marehem anasemwa na watu wengi sana.Huwezi kuwaziba midomo wote
 
Mstaafu Mwinyi amewahi kunukuliwa kuwa ' MAISHA NI HADITHI '

Mstaafu Mwinyi akaendelea kusema
BASI TUWE NA HADITHI NZURI ZA KUSIMULIWA BAADA YA MAISHA HAYA

Rais Magufuli alichagua HADITHI YAKE..
Acha asemwe kwakuwa yeye mwenyewe alipokuwa HAI alichagua HADITHI MBAYA YA KUSEMWA
Hadithi ya JPM haipo midomoni mwa wanasiasa wenziwe, ukiitaka ingia mtaani.
Huwezi itafuta hadithi ya mtu kwa maadui zake, nothing good will come out of it.
 
SISI TUJUE KILA TUFANYALO LINA MADHARA KAMA SIO LEO BASI KESHO HIVYO TUWE MAKINI NA MATENDO YETU.Acha wamseme ili walio hai wajifunze.
Nadhani akina Nape wanafikisha ujumbe kwa waliohai.

Ni wajibu wetu sisi tuliohai kurekebisha hali.
 
Nenda kwa GROUND ambako ndiko kuliko watu wengi nchini ukasikie jamaa anasemwaje na walio wengi !!!
Niko ground daily... Magufuli anasifiwa kwa kujaza wamachinga milangoni mwa watu na barabarani..
Maisha yapo taight kwakuwa mafuta yamepanda Duniani.. Lakini kuna unafuu kwa mbali... Kidogo hata Mahakama zinaanza kupumua hasa kwenye maamuzi..
 
Niko ground daily... Magufuli anasifiwa kwa kujaza wamachinga milangoni mwa watu na barabarani..
Maisha yapo taight kwakuwa mafuta yamepanda Duniani.. Lakini kuna unafuu kwa mbali... Kidogo hata Mahakama zinaanza kupumua hasa kwenye maamuzi..
Kwamba mahakama zilibinywa?
 
Back
Top Bottom