Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Wewe nawe hamnazo,Achaa theories za kijima daima kutakuwa na gap ya kiuchumi si lazima lied na masikini,
Wewe ndo kiongizi waoMarehemu anamiliki ndege, hii nchi imejaa wapumbavu
Tafuta hela weweInaweza kuondoka endapo kutakuwa na usawa kati ya wenye nacho na wasio nacho. Kama kuna matabaka, neno 'wanyonge' haliwezi kuondoka. Kama kuna tofauti ya maskini na tajiri, wanyonge watakuwepo tu.
Zab 41:1 Heri amkumbukaye mnyonge; Bwana atamwokoa siku ya taabu.
Mnyonge ni mtu anayetamani kutendewa haki pasipo masharti, lakini hana uwezo. Leo hii kwenye mitandao wanakata salio kablaa hata halijatumika, wanyonge watakosaje kuwepo?
Hata aliyekuwa kipenzi cha mwendazake mwigulu alisema wiki iliyopita alitwambia kwamba mabenki yalikuwa taabani yaani yalikuwa hana pesa za kukopesha na huyo huyo ndiye aliyekuwa akitwambia kwamba tupo kwenye uchumi wa kati kwa hivyo hiyo ndio hali asilaumiwe mtu kwa kusema ukweli sasa hivi tukiwa na rais mwenye utu na halima.Mkuu umesahau kua mwendazake amejivika cheo cha izilaili.
Waislam wanasema ukiona mtu anafanya kitu kibaya hatua ya kwanza mkataze kwa mdomo,kama huwezi hatua ya pili tumia nguvu zako,kama humuwezi tena hatua ya 3 na mwisho chukia lile tukio na mchukie na anaetenda.
Kipindi cha mwendazake watu wengi walibaki kwenye kuchukia maana hawakua na ubavu tena.ukithubutu kwa hatua yoyote unaweza kunyofolewa roho.
Hivyo mkuu usimulaumu mtu kwa kutoongea kitu kwa wakati ule.
Kenge wewe? Ukiwa ccm lazima utetee upuuzi,Wewe nawe hamnazo,
Kwani nini maana ya mnyonge?
Ni mtu mwenye kutenda na mwenye kutaka kujitegemea, ila anakwamishwa na viongozi waonevu!
Ataenda jela, wakati kosa si lake,
Wataugua wao, atakufa yeye,
Atakula yeye, watashiba wao
Hiyo ndiyo dhana ya mtu mnyonge, hana mtetezi
Elewa kima wewe
Kumtukuza yule dictator uchwara ni unyonge pia. nawe ulikuwa myonge kwa magufuli,Ukweli mchungu, Africa yote ni wanyonge mbele ya mzungu!
Hatuwezi kujiamini kwa wazungu, na huo ndio unyonge, ila Magufuli tuu ndiye angalau alithubutu Kuwaita mabeberu mchana kweupe
Ndo unyonge anaousema nape.Wewe ndo kiongizi wao
So mkuu wewe ni mnyonge?Huyu yupo kwenye crusade ya kumdiscredit JPM kila fursa anayopata anamkandia. Sisi tunamcheki tunasema hiiiii!
Watu wanajifanya kama hawajui yale yaliyowapata wale waliyojaribu kuongea ukweli, ref CAG.Mkuu umesahau kua mwendazake amejivika cheo cha izilaili.
Waislam wanasema ukiona mtu anafanya kitu kibaya hatua ya kwanza mkataze kwa mdomo,kama huwezi hatua ya pili tumia nguvu zako,kama humuwezi tena hatua ya 3 na mwisho chukia lile tukio na mchukie na anaetenda.
Kipindi cha mwendazake watu wengi walibaki kwenye kuchukia maana hawakua na ubavu tena.ukithubutu kwa hatua yoyote unaweza kunyofolewa roho.
Hivyo mkuu usimulaumu mtu kwa kutoongea kitu kwa wakati ule.
Sasa mbona hii kauli inatumiwa na watu ambao siyo wanyonge? Au mnawahadaa kisiasa ili kupata uungwaji mkono?Inaweza kuondoka endapo kutakuwa na usawa kati ya wenye nacho na wasio nacho. Kama kuna matabaka, neno 'wanyonge' haliwezi kuondoka. Kama kuna tofauti ya maskini na tajiri, wanyonge watakuwepo tu.
Zab 41:1 Heri amkumbukaye mnyonge; Bwana atamwokoa siku ya taabu.
Mnyonge ni mtu anayetamani kutendewa haki pasipo masharti, lakini hana uwezo. Leo hii kwenye mitandao wanakata salio kablaa hata halijatumika, wanyonge watakosaje kuwepo?
Hii ndo maana ya siasa za kubebwa. Kwa mwansiasa anayejitambua, anafahamu maana ya lugha kama hizo na comfort yake kwa wananchi. Kwa huyu anayepewa kwa sababu baba alikuwa mtunzi wa nyimbo, hajui amachoongea. He is just a devious politician.Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.
Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.
“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.
“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Kinachosikitisha ni kuona mtu kama Nape ambaye kichwani ni mtupu, naye anapata wafuasi na kueleza Nape alichosema. Tunahitaji kweli kusikiliza ubunifu wowote toka kwa mtu kama Nape?Amekaa kikikekike saana huyo jamaa!
Hivi hawezi kuacha mambo ya kijinga...?