Nape Nnauye: Tuachane na hii habari ya "Sisi Wanyonge", kauli hiyo inatulemaza

Nape Nnauye: Tuachane na hii habari ya "Sisi Wanyonge", kauli hiyo inatulemaza

Mwaka wenu huu wazee wa legacy 😂😂😂🙌🙌
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.

Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.

“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.

“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
 
Wewe nawe hamnazo,

Kwani nini maana ya mnyonge?

Ni mtu mwenye kutenda na mwenye kutaka kujitegemea, ila anakwamishwa na viongozi waonevu!

Ataenda jela, wakati kosa si lake,
Wataugua wao, atakufa yeye,
Atakula yeye, watashiba wao

Hiyo ndiyo dhana ya mtu mnyonge, hana mtetezi

Elewa kima wewe
Acha ujinga, hata Marekani ambao sometimes wanatupa misaada hao watu wapo. Ni maamuzi au kuwa chosen. So wataka Tz ya wote mna kipato sawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe utakuwa masikini /Mnyonge
 
Bila kufanya hivyo hiyo nafasi unaondolewa
Hapana mkuu, hizo zilikuwa zama za Jiwe, mama hataki unafiki ila anataka ukweli. Japo ni maoni yangu lakini sidhani kama anataka sifa za uongo.
 
Ukraine Ni mnyonge kwa urusi

Afrika ni wanyonge kwa wazungu

Wanachadema ni wanyonge kwa CCM

WanaCCM Ni wanyonge kwa mwenyekiti wao

Wasio na madaraka serikalini Ni wanyonge kwa wenye vyeo!
Short and clear. Hata yeye ni mnyonge kwa rais wake.
 
Acha ujinga, hata Marekani ambao sometimes wanatupa misaada hao watu wapo. Ni maamuzi au kuwa chosen. So wataka Tz ya wote mna kipato sawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe utakuwa masikini /Mnyonge
Kwa ufinyu wa akili yako unadhani neno unyonge Lina maana sawa na maskini/fukara, kitu ambacho siyo kweli
 
SSH alifaa na anafaa kuwa kiongozi wa NGO, kazi ambayo ingemfaa ni kuhudhuria mikutano, seminars, makongamo,warsha, kuandika proposal za kuomba mikopo na misaada, kutembeza bakuli duniani au kuwa kiongozi kule nyumbani Tanzania inapopeleka 21% ya mikopo yote na ajira. Kuwa katikati na kuzungukwa na wapigaji hivyo ndivyo vitu anavyovipenda,ambavyo viko kwenye damu yake.

Mambo ya kufanya maamuzi sahihi, utendaji uliotukuka, kuunganisha nchi,kuchagua viongozi sahihi, kusimama na kusimamia na kujali maisha ya Watanzania wote hayawezi, yapo juu,nje ya uwezo wake.

Sera rasmi ni kuombaomba, kukopa hovyohovyo, kutojali mahitaji na maslahi ya wengi kipato kidogo (majority).

Ipo kwa ajiri ya wachache kikundi kidogo, wapigaji.
 
Hakuna siku kutakuwa na huo usawa.
Inaweza kuondoka endapo kutakuwa na usawa kati ya wenye nacho na wasio nacho. Kama kuna matabaka, neno 'wanyonge' haliwezi kuondoka. Kama kuna tofauti ya maskini na tajiri, wanyonge watakuwepo tu.
Zab 41:1 Heri amkumbukaye mnyonge; Bwana atamwokoa siku ya taabu.

Mnyonge ni mtu anayetamani kutendewa haki pasipo masharti, lakini hana uwezo. Leo hii kwenye mitandao wanakata salio kablaa hata halijatumika, wanyonge watakosaje kuwepo?
 
Uko sahihi 100%
Nape yupo sahihi. Mtu akikuita mnyonge, anakuwa amekufukarisha. Wazungu wanasema..you have been disempowered!
Hii kauli ya wanyonge ilikuwa ni kuwadanganya watu na kuwatumia kisiasa.
Hata kama sina kitu...usiniite mnyonge kamwe!
 
Kauli hiyo hatupaswi kuitumia sisi kutaka rehema na fadhili zao watawala wetu ila wao wanapaswa kuzitumia kupata hisani za mabeberu kwa kivuli cha mikopo na misaada at least JPM did the vice versa
 
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.

Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.

“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.

“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
 
mwacheni mh Waziri afunguke maana hakuna tena ziraili mtoa roho , anaupiga mwingi sana maana hata chaneli za dstv zimerudi duniani
 
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.

Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.

“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.

“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Spot on Nape.
Maneno ya kuwa kuna wanyonge ni mbinu za kisiasa kuwagawa wananchi.
Waatumia neno wanyonge ili kuwatapeli kisiasa.
 
Mwambieni Nape kama anataka hivyo amwambie Mama afute tozo zote kwanza!!kama hatofuta tozo unyonge utaendelea kama kawa!
 
Hi

Vip wengine mna matatizo ya akili ee! Yaani mnaongea kama mataahira!
Teeeh.

Binti mbona unakuwa na shobo hivyo?


ndo ulivyofundishwa kwenu huko kwamba umshobokee kila mwanaume?
 
Uko sahihi kabisa.
Na ndio maana hata hao wanaoitwa wanyonge hawawezi kukosekana katika jamii
Achaa theories za kijima daima kutakuwa na gap ya kiuchumi si lazima lied na masikin
 
Back
Top Bottom