Nape Nnauye: Tuachane na hii habari ya "Sisi Wanyonge", kauli hiyo inatulemaza

Nape Nnauye: Tuachane na hii habari ya "Sisi Wanyonge", kauli hiyo inatulemaza

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.

Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.

“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.

“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Mnafiki sana mtu huyu, alikuwa wapi kuzuia lugha hiyo isitumike miaka yote tangu tunapata uhuru; hata baba yake mwenyewe alikuwa akisema kuwa tupinge tabia za mabeberu kuonea wanyonge. Maneno ya Mabeberu na Wanyonge ni maneno tumekuwa nayo tangu wakati wa uhuru, halafu leo yanaonekana kama vile ni ya jana tu.

Wakati wa Magufuli kauli hiyo haikuwa inawalenga hao wenye uwezo, bali inawalenga wale ambao kweli ni wanyonge na wanyanyaswa wazi wazi. Kama nchi alikuwa anawambia watanzania kuwa "sisi siyo maskini".

Hii tabia ya mawaziri hao kwenye kutoa "taarifa ya mafanikio ya rais kwa mwaka mmoja" ni kama hii hapa:

 
Kama kura ya wengi haiwezi kuamua kiongozi ni nani bado tutakuwa wanyonge tu.
Kamwe usije niita mnyonge, jiite wawe na familia yako au na wale wenye imani kama yako. So jiwe alipokuwa anawaita kuwa nyie ni wanyonge alikuwa anamaanisha nyie ni wanyonge kwa sababu za uchaguzi wa 2020 ambao hata wew wajua alichofanya?
 
Kamwe usije niita mnyonge, jiite wawe na familia yako au na wale wenye imani kama yako. So jiwe alipokuwa anawaita kuwa nyie ni wanyonge alikuwa anamaanisha nyie ni wanyonge kwa sababu za uchaguzi wa 2020 ambao hata wew wajua alichofanya?
Probably wewe hukuwemo kwenye hiyo list ya wanyonge ya jiwe. Siyo wote ni wanyonge, na alipokuwa akisema anawetetea wanyonge hakuwa ana include watu kama akina Azam, MODewji au wewe. Chuki dhidi ya Magufuli hazina faida yoyote sasa kwani zinaweza kusababisha mtu afanye maamuzi mabaya ili tu kuyafanya yawe ni tofauti na ya Magufuli.
 
Iko wapi ile video akifuta jasho kwa kitambaa huku akienda kuomba msamaha kwa Magufuli.
 
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.

Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.

“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.

“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Mbona hii timu Msoga wanateseka Sana.?Ahaa hakika JPM aliwapiga mapigo matakatifu. Na wanaumia bado .Mpaka muda huu wanaweweseka tu.Umepewa cheo kwa upendeleo,lakin hauna uhakika na hicho cheo,unaweweseka tu.Mstafu Kikwete ,nae anaweweseka tu.Akipata nafasi ya kuzungumza mbele ya watu wengi.Aongelei kilichokupeleka pale,ni kuweweseka tu.Oh !!Mm wazir wangu alikunywa kikombe cha babu.Utumbo mtupu.
 
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumzia marekebisho ya Kanuni ya Maudhui ya Mitandao ya Mwaka 2020, leo Machi 14, 2022. Msome kisha uniambie tuitafakari hii kauli ya WANYONGE.

Watanzania wameanza kuwa wanaongea barabarani wakiongea na simu haloo haloo kama wanapigishana kelele na mtu, hata msikilizani, hakuna smooth connection na mazungumzo.

“Niwaombeni tuwape muda TCRA wakati wakitafuta ufumbuzi, wakati huo tupate huduma lakini zilizo bora, ni jambo linazungumzika.

“Tuondoe hii habari ya sisi wanyonge, sisi wanyonge, inatulemaza, nataka niwaombe, tuondoke katika baadhi ya mambo, ukiambiwa tulipo na tunakotaka kwenda inahitaji muujiza wa ajabu sana…”
Aendelee tu kusagia kunguni legasy, 2025 ndo atajua Magufuli (RIP) alikuwa rais wa wanyonge au la. Wanyonge wapo kimya lakini wana yao moyoni.
 
Screenshot_2022-03-14-19-53-45-48_9cdfd2e422acfa19886205420f2c9597.jpg

Wewe ni Mnyonge ?
Soma 41:1
 
dunia kinyume nyume sana. Huyu anasema sisi wanyonge lakini anapambana tujitegemee. Huyu anasema tuache unyonge lakini anakazana kuomba misaada na kukopa. dunia uwanja wa fujo.
 
Mkuu umesahau kua mwendazake amejivika cheo cha izilaili.

Waislam wanasema ukiona mtu anafanya kitu kibaya hatua ya kwanza mkataze kwa mdomo,kama huwezi hatua ya pili tumia nguvu zako,kama humuwezi tena hatua ya 3 na mwisho chukia lile tukio na mchukie na anaetenda.

Kipindi cha mwendazake watu wengi walibaki kwenye kuchukia maana hawakua na ubavu tena.ukithubutu kwa hatua yoyote unaweza kunyofolewa roho.

Hivyo mkuu usimulaumu mtu kwa kutoongea kitu kwa wakati ule.
Kwahiyo na yeye anatulipizia sisi? Maana kweli hatuwezi hizo bei zao...Kuna kumnyanyasa mtu kwa upole na kwa ukali vyote mi unyanyasaji!
 
Acha ujinga, hata Marekani ambao sometimes wanatupa misaada hao watu wapo. Ni maamuzi au kuwa chosen. So wataka Tz ya wote mna kipato sawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe utakuwa masikini /Mnyonge
Ombea sana hiyo kitu ila kwa tarifa yako Mimi si maskini
 
Nape naona bado hajaamini kama JPM amekufa angekuwa na imani hiyo angekuwa ameshamfumta kwenye akili yake na kumsamehe kabisa.nikimfatilia kwenye press zake lazima amkejeli JPM either direct au kimafumbo.nimkumbushe tu Nape kuwa JPM kalala hakusikii kwa lolote ila kaacha mke,watoto na ndugu zake ndio wanaoumia sanaa na kauli zake.Embu mshukuru Mungu kwa baraka alizokujalia na kutumikia watu utafika mbali.
 
Mbona hatari maskin akjfanya tajiri anabaki kuw maskin,mnyonge akjfanya ana uwez atabak kuw mnyonge maan hatopat alchostahil kukpat mnyonge na zaid atapew doz ya mwenye nguvu matokeo yake n overdosage na ktoweka kabisa mbele ya nyuso za wenye nguvu
 
Kama siwezi kupata haki zangu kutokana na ambao wako kwenye system kuwa na nguvu neno unyonge litaendelea kuwepo
Nyie ndio mnaolala na njaa na kuisingizia serikali kwa mtindo huu muendelee tu kujiita wanyonge
 
Back
Top Bottom