Sidhani kama hili lina ukweli kiasi ganiVitu ni bei juu ila hela ya kununua ipo.
Wakati wa jiwe vitu vilikuwa bei chee ila hela haikuwepo
Naomba aje huku kwetu Kijiji cha Mtakuja atuoneshe hizo hela zilizomwagika mtaani.
Watu tunaumia kuuziwa nondo 12mm shilingi 26,000 pc 1 wakati Serikali ambayo ndiyo regulator wa bei ipo na haichukui hatua kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi😭
Hilo la kumuongeza mingine hata kumi ni lenu nyie CCM wenye nchi sisi ni wakuburuzwa tu halituhusu.Nape anasema sasa hivi mtaani watu wanafurahi maana hela zimewagika na mama kaweka hela nyingi kila mtu ana sherekea tofauti na kipindi kilichopita maana vyuma vilikuwa vimekaza.
Ni kweli hela zimewagika mtaani wana JF?
Nape ampa tano Rais Samia
-
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema, Rais Samia Suluhu anafanya kazi vizuri.
“Kuna wakati tulisema vyuma vimekaza, mama amelegeza sana, akimaliza hii miaka mitano, tumuongeze na mingine mitano 2025 atupeleke mpaka 2030," amesema Nape.
Kazimwaga mtaa gan, naomben jbu waungwana, nmekod🚕Nape anasema sasa hivi mtaani watu wanafurahi maana hela zimewagika na mama kaweka hela nyingi kila mtu ana sherekea tofauti na kipindi kilichopita maana vyuma vilikuwa vimekaza.
Ni kweli hela zimewagika mtaani wana JF?
Nape ampa tano Rais Samia
-
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema, Rais Samia Suluhu anafanya kazi vizuri.
“Kuna wakati tulisema vyuma vimekaza, mama amelegeza sana, akimaliza hii miaka mitano, tumuongeze na mingine mitano 2025 atupeleke mpaka 2030," amesema Nape.
Hizi hela zimemwagikia mtaa upi iliwanainchi tukaokote ilihali mfuko wa mbolea haukamatiki kwa mkulima mlala hoi??Nape anasema sasa hivi mtaani watu wanafurahi maana hela zimewagika na mama kaweka hela nyingi kila mtu ana sherekea tofauti na kipindi kilichopita maana vyuma vilikuwa vimekaza.
Ni kweli hela zimewagika mtaani wana JF?
Nape ampa tano Rais Samia
-
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema, Rais Samia Suluhu anafanya kazi vizuri.
“Kuna wakati tulisema vyuma vimekaza, mama amelegeza sana, akimaliza hii miaka mitano, tumuongeze na mingine mitano 2025 atupeleke mpaka 2030," amesema Nape.
Tutamuongezea apende asipendeNaunga mkono hoja! Hela zipo nyingi kitaa... Mama Mikumi tena
Kongole mkuu, walonga chindediSidhani kama hili lina ukweli kiasi gani
But nachojua
Mwaka jana Petrol ~1923
Diesel ~1902
Nondo 12mm ~22,000
Cement ~14,500
Bei hizi ni kabla ya Uchaguzi
Mwaka huu petrol ~2365
Diesel ~2532
Nondo 12mm~26,000
Cement ~17,000
Bado hela hazijachanganya mtaani Ila dalili inaonesha hela zitaanza kuwa nyingi mwezi Novemba na kueleke Christmas huko
By mbunge wa nkasi kaskazini. Halafu hakurudi bungeni jamaniTutamuongezea apende asipende
Tuliwanyoosha wahuni kama yuleBy mbunge wa nkasi kaskazini. Halafu hakurudi bungeni jamani
Jamaa ana roho ngumu sanaJe Kauli Ya Nape Ni Ya Kweli Kwamba Vyuma Vilikaza Na Sasa Vimeachia?
Kweli vimelegea nyama imeshuka bei kutoka 6000 kwa kg Hadi 8000 kwa kg
Mafuta ya aina yote bei imeshuka Sana kuliko miaka yote hongera sana kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ujaona wakati mda wote unaning'iniza poumbou sofani sebuleni kwa shemeji yako huku mkigombania remote na beki tatu?Mimi bado sijasiona
Labda huko Mtama-mtwara .
Kwa hiyo wewe unampinga nape?Mnafiki huyu hata kidipindi cha dikteta mkuu alikuwa anasifu
Si pesa zimemwagwa nyingi unasema nondo chakula je?? Umeounguza unga na mchele vingine vimepanda ni mpishank tu!!Sidhani kama hili lina ukweli kiasi gani
But nachojua
Mwaka jana Petrol ~1923
Diesel ~1902
Nondo 12mm ~22,000
Cement ~14,500
Bei hizi ni kabla ya Uchaguzi
Mwaka huu petrol ~2365
Diesel ~2532
Nondo 12mm~26,000
Cement ~17,000
Bado hela hazijachanganya mtaani Ila dalili inaonesha hela zitaanza kuwa nyingi mwezi Novemba na kueleke Christmas huko
NdioKwa hiyo wewe unampinga nape?
Hao viongozi wapumbavu wanapo semaga tanzania umaanisha wao mafisadi maana kwa mafisadi ni kweli vyuma vimelegeaJe Kauli Ya Nape Ni Ya Kweli Kwamba Vyuma Vilikaza Na Sasa Vimeachia?
Kweli vimelegea nyama imeshuka bei kutoka 6000 kwa kg Hadi 8000 kwa kg
Mafuta ya aina yote bei imeshuka Sana kuliko miaka yote hongera sana kwake
Sent using Jamii Forums mobile app