Napenda sana majirani wa aina hii

What a marvelous comment
 
Kwahiyo mama yao hakuona umuhimu wa msaada wa makonzi anayotoa jamaa? Huyo jamaa angeenda kusaidia pale, mama mtu angesema jamaa ndiye kamchoma mtoto kisu kisa kuna historia ya makonzi kupigwa
 
Inategemea Kama wewe ni mwanaume au mvulana.

Wacha nikupe somo luch time iende vyema.

Hatukatai kutoa Adhabu ila Binadam wana mapumgufu na magonjwa,unaweza piga konzi mtoto wa watu akanyooka. hivyo alipaswa kutumia mbinu mbadala kama mwanaume (Babà) sio mvulana.

Ungemtuma Yule mdogo kwenda kununua pipi pipi kisha ukawasemesha kama watoto wako.

hapo ungejua kisa cha hao ndugu kugombana na ukawapatanisha

Ukamwambia mdogo amgawie pipi yule mkubwa.

Swala la kuumwa Tumbo lipo tuu Au lingetokea Mungu angekua upande wako kwakua hukuwa na jambo baya dhidi ya malaika hawa.
 
Kuna watoto kama wana laana yani wanapenda ligi tu hawakubali kushindwa. Hasa watoto wa kwanza hujiona wao ni sehemu ya wazazi hivyo ku exercise ukubwa kwa wadogo zao wakati wote ni watoto hukutana na upinzani mkali sana. Matokeo yake ni ngumi za hapa na pale na bila uangalizi huishia kuumizana vibaya.

Sometimes sababu ni za ujinga tu unakuta wanagombania kitu tu. The best way ni kumfundisha mkubwa ku give in kumuachia mdogo wake kwa upendo. Itakuwa inamuuma ila atazoea kuwa kumpa priority mdogo wake ni swala la upendo na sio unyonge.
 
Hiyo issue ya kutoa kitu cha kula kwa watoto wa wenzio iliwapeleka jirani mpaka polisi. Mama mtoto nasema jirani yake kawapa uchafu kumbe jirani huyo alisaidia tu.

Mtoa post kasema hao watoto wanagombana mara kwa mara, ina maana walishakanywa, mama yao alishaambiwa ila bado watoto hawasikii. Sawa jamaa alizingua kumpiga sababu nayo ni mbaya, hajui historia ya kiafya kwa hao watoto.
 
Chai,kisu kikae jichoni masaa yote hayo
 
Kaka hii dunia sio mbaya sana kama unavyosema. nikuulize swali?

Kipi bora kuwanunulia pipi hao watoto ukawapatanisha wakaharisha alafu ukapelekwa polisi na mama Yao au
Watoto kuchomana visu?
 
Hap
Hapa umesema vyema kabisa.

Binafsi nimebarikiwa watoto wawili.Wakike na wakiumeWamepishana miaka minne.

Hawa vijana usije home na kitu kimoja au vinavyotofautiana. kama baiskel babà ni mbili.Hata kama ni toys baba ni mbili nunua zinazofanana.Lasivyo watagombana sana.
Nikagundua mdogo yeye anahisi anahaki ya kila kitu sababu anakimbilia sana kusemea.mkubwa yeye anaona ana mamlaka ya kufanya kila kitu .Nikajifunza kumpa vitu mdogo ampe mkubwa na mkubwa awe anamuona mdogo kama mtoto ilizaa matunda sana,
 
Kwa hiyo ukarudi ukamkuta dogo kanyamaza ila kisu bado kipo jichoni anazunguka nacho kama sio yeye eti?


Na mama nae anapika vitafunio aende kuzungusha
Acha nimalizie story na uthubutu kunikosoa hapo
 
Kaka hii dunia sio mbaya sana kama unavyosema. nikuulize swali?

Kipi bora kuwanunulia pipi hao watoto ukawapatanisha wakaharisha alafu ukapelekwa polisi na mama Yao au
Watoto kuchomana visu?
Swali hilo hilo, kipi bora kwa mama, watoto waadhibiwe kidogo kwa makonzi au waachwe wachomane visu wauane kama alivyosema?
 
Hawa jamaa Wa valeur na kitimoto wanamambo ya hovyo sana. Yani watoto wanauwana wewe unafua jeans zako. Wewe jamaa roho mbaya sana.
Lakini si aliambiwa na mama wa watoto kwamba hata akikuta wanauana asijaribu kuwaamulia au kuwapiga? Tujisahihishe wazazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…