Napenda sana majirani wa aina hii

Hawa jamaa Wa valeur na kitimoto wanamambo ya hovyo sana. Yani watoto wanauwana wewe unafua jeans zako. Wewe jamaa roho mbaya sana.
Jamaa hana baya, si kafata tu ushauri wa yule mama kwamba usithubutu kuwagusa wanawe
 
Hahaha! Nitashangaa sana kama kuna mtu atachukulia hii story seriously.

Sababu technically jicho ni sehemu sensitive sana yenye mishipa mingi ya fahamu kutokana na kuwa connected directly na ubongo. Hivyo realistically kwenye situation kama hiyo, kisu kikipita na kuzama ndani ya jicho, huyo dogo wala asingepiga kelele wala kulia, angezima kimyakimya kwa kupoteza fahamu mara moja na kudondoka kama kiroba cha viazi. Sababu maumivu yake sio mchezo. Angetoka damu nyingi na kufa hapohapo chini ya dk 15.

Na wewe ungeshitakiwa kwa kuwa shahidi na kutofanya chochote, mbaya zaidi ungeenda jela kwa kusaidia kifo cha huyo mtoto kwa kitendo chako cha kumkataza huyo jirani yako kutoa msaada. Ungekuwa mahabusu sasa hivi na hii story isingekuwemo humu.

Anyway, kwenye upande wa utunzi story nitasema ni 6/10. Una safari ndefu kama nia ni kutunga realistic stories. Unless hii ni dark comedy. Which is funny kama wewe ni shabiki wa American Pyscho ya mwaka 2000.

"Now, let's see Paul Allen's card?"
 
Muda sasa wa kumburuza mahakamani mleta maada
1. Maudhui yake yameniathiri kisaikolojia

2. Amejaribu kusababisha kifo

3. Kasababisha maumivu makali kwa mtoto
 
Mkuu una roho mbaya,kwanza kitendo cha wewe kumpiga makwenzi kaka yake badala ya kuamua na kuwaelekeza inaonyesha wewe una shida mahala,Pili mtoto amechomwa kisu cha jicho upo hapo unafua nguo eeeh!Badilika wanaume hawana tabia hizo
 
Mitoto aliyeisema jana kishimba

Watoto wanaopatikana baba zao kwa kujumua uji wa mama zao ndoshida kila toto na babake

Akome ,mama na mdogo mtu wamekomeshwa na dogojanja
 
Watoto wa siku hizi ukitaka hata kumtuma dukani chapu lazima umuombe ruhusa mama yake, anyway hpo kwenye kisu cha jicho imetufunga kamba.
Hata mm nimeshtukia. Hapo amekoleza uzi aisee! Kisu hakiwezi kukaa jichoni wakati dogo anapiga kelele huku majirani wengine wapi wasitoe msaada. Hili haliwezekani. Hapa katia chumvi aisee!
 
Mkuu una roho mbaya,kwanza kitendo cha wewe kumpiga makwenzi kaka yake badala ya kuamua na kuwaelekeza inaonyesha wewe una shida mahala,Pili mtoto amechomwa kisu cha jicho upo hapo unafua nguo eeeh!Badilika wanaume hawana tabia hizo
Mkuu hii ni fiction isikuumize kichwa aisee!
 
Kama sio chai basi akili zako n kama jicho lenyewe
 
Ukitaka kumlea mtoto wa jirn ni lazima ujipange kuvuna lawana kulik shukulan especially ukiwa una hela jamii inakua aipokei hekima zako bali wanaona kelele
 
Mbali na kwamba hii chai haina sukari mwamba una roho ya DP World
 
Uyo mwanamke mpuuzi enewei ndo ilivyo mjanamke isioishi na mume hao watot hawajakutana na mimi watot wanaoonewa huchoka kinachofuata mnyonge atashinda tu one day , so mi huwa nawaleta pamoja yule mkubwa nampa onyo sometimes wadogo huwa wakorofi nae nampa onyo wakirudia ni kipigo wote hasa yule mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…