Napenda sana majirani wa aina hii

Tumbo la uchungu limemzalishia uchungu mama mpumbavu.

Siku hizi wazazi hawataki kabisaa watoto wao wanapokuwa wamekosea wakanywe walą kufokewa. Halafu baadaye wakiwashindwa ndo unasikia naomba msaada kwa jamii.

Mimi, nimeshawaambia waning kuwa akifanya ujinga kwenye jamii hana Kinga ya kutoadhibiwa. Hive adobe na tab njema si kwa wasabi peek bali kwa jamais nzima. Lakini hawapo kifala maana kama ni kosa wanakiri na kuomba radhi ama kupokea adhabu, lakini ukiwaonea wanakukabili kujiokoa
 
Mwenye vitafunwa aniuzie wa
Mwenye vitafunwa aniuzie wakuu
 
Hawa jamaa Wa valeur na kitimoto wanamambo ya hovyo sana. Yani watoto wanauwana wewe unafua jeans zako. Wewe jamaa roho mbaya sana.
Waislamu mna kitu mtafika mbali kumbe haya makitimoto yanapumbaza akili...
 
Ingawa inaumiza sana,lakini mwache binadamu ajifunze kwa vitendo.
Fikiria mama angekukuta pale ukimwokoa mtoto,halafu mtoto aseme ni anko kanichoma! Sipati picha!
Nakupongezq kwa kitu kimoja tu.
UJASIRI ! Wewe ni Jasiri sana.
 
Kama Hilo tukio ni la kweli haukupaswa kufanya hivyo ndugu , utu ni muhimu sana , we ungeachana na huyo mama akawasaidia hao watoto
 
We jamaa una roho mbaya na ya kikatili sana, hivi unaweza kula na kunywa bila hofu wala wasiwasi kwa jambo ulilofanya, hakika binadamu tumetofautiana sana.
 
Muda mwingine maisha yanataka watu kama wewe ili dunia isipoe
 
Sijapenda kwa kile ulichofanya kwa huyo mtoto, haujaonyesha hata chembe kidogo ta upendo. Hata kama mama yao alikugombeza, hukupaswa kulipiza mkuu.
 
Kama ni kweli,basi hii ni habari imehuzunisha Moyo wangu sana.
 
Iwe chai au mtindi hii habari inataka kufanana na tukio langu moja
Watoto Wana michezo ya kipuuzi sana Kuna mchezo unaitwa mbong'oko yaani ukiinama tu mwenzio uliyepinga naye mchezo anakuja kukukita au kukupiga teke la matako

Jirani hivyo hivyo watoto wake na michezo yao ya kijinga wakawa wanafanya Kuna siku niliwakamata nikawafinya ngozi ili waache wakaenda kusema eti nimewapiga mama yao wacha anijie juu, Mimi nikajawa na hasira kifuani nikaachana nao siku ya siku mmoja akamkita mwenzie akadondokea kwenye shimo lililochimbwa kwa ajili kalo akavunjikabl mkono mi nikasema hatawi hayawi yametimia huyo mama ndo anajifanya kumchapa mtoto aliyemuumiza mwenzio
Mi hata pole sikumpa na hatukuongea tangu kipindi hiki hadi nahama mtaa
 
Mleta mada una roho kama yangu.
Kila mtu avune alichopanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…