Mmmh mbona connection ya hii aya na vimini
.....View attachment 325598
Hata hawa wanajisikia wepesi tuu !
Well and Good... basi karibu sana!!Oooh,nashukuru shem
Heshima kwako pia lazima niirejeshe
Merci beaucoup cheriéWell and Good... basi karibu sana!!
Luksa mamaaShem eee madamu umeshachukuwa damu yetu basi ushakuwa mtani wetu wa jadi!!! hivyo tutataniana tu!!!
Sasa mamaa gani tena.. looh utani wako umeanzia chini kuja juu!!!! ha ha ha mie ustazi baba!!Luksa mamaa
Ohooo bwa shemeji sorrySasa mamaa gani tena.. looh utani wako umeanzia chini kuja juu!!!! ha ha ha mie ustazi baba!!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya faraja na nyegge!Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Sawa shemSindiyo raha ya utaani... haina haja ya sorry !! Shem nakudai....😀!
Ushalishwa haluwa na tende??Sawa shem
Looh! zinachochea hizo.....Hahahaaa,sasa nazikosaje kwa mfano hzo???na nnavyozikubali
SanaLooh! zinachochea hizo.....
nikutakie usiku mwema.... be blessedSana
Kwako pia shemejiiinikutakie usiku mwema.... be blessed