Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Sisi Watanzania tulio wengi tumekubali kuwa Mwendazake amefariki kifo cha kawaida, tunachojua sasa sisi ni tuchape kazi, baaasi.
 
Msisitizo wako hauna maana kama Samia na jeshi lake hawaelewi hizo propaganda.

Hoja ya kuumia ni hoja ya kimuhemko kwa mtu binafsi haionyeshi umuhimu wowote wa kuanzishwa tume huru kwa anayetakiwa kuiunda.
Hivi unajua maana ya propaganda? Au unalitumia tu neno bila kuelewa.
Ombi liko palepale iundwe tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli
 
Yaani lijiwe lime uwawa na Covid19 alafu wewe unataka iundwe tume ya kuchunguza nini?? kwani yeye ameuwa wangapi? kwanini na yeye asife??
 
Watanzania kwa kupenda tume!

Mbona Mhe. Samia aliliweka vizuri suala hilo,alisema mwenye ushahidi ajitokeze na akapeleke ushahidi huo Polisi.Sasa kama una ushahidi si upeleke tu kwenye vyombo vya usalama.Pengine ushahidi wako ukionekana relevant siyo lazima iundwe tume, achaneni na kasumba ya tume.
Serikaki ikipata viashiria vya hujuma inaweza kutafuta wataam kwenye taasisi za kimataifa kama Scotland Yard wakachunguza na kubaini ukweli.
Otherwise Haya mambo ya kuunda tume ni namna fulani ya kujitafutia ka-ulaji ili maisha yaendelee.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Linao ongelewa hapa ni tume huru. Ili walionaushahidi wanakuwa hata wao huru kuwasilisha ushahid.
Pia Rais hakusema ushahidi upelekwe polisi bali alisema ushahidi uletwe. Hakufafanua.
 
Tuondolee upupu hapa na wewe, sheria sheria....sheria gani? Hiyo sheria ipo kwa Magu tu raia wengine wa Tanzania Hawana haki kisheria?!!! Nakuuliza Tundu Lissu Hana haki kisheria? Azory gwanda, Ben saa nane, akwilina akwilini, maiti za ufukweni, mawazo nk nk hawana haki kuundiwa Tume?!!!!!
Acha kabisa kuamsha khasira za watu, mwache mwenda kuzimu alale zake huko.
Upupu ni weye ulonao make unadandia hoja bila kuelewa. Kama unamadai ya Lisu au sijui nani. Si wasilisha hoja au ombi lako. kuliko kupinga madai Lisu. Mwambie Lisu akufundishe sheria make unaropoka tu hujui njia ya kudai unachotaka. Oooh Lisu mara sijui nani hamjazuiwa kudai haki zao dai. Siyo unakurupuka kudandia hoja. Nani kakuzuia kuomba uchunguzi wa Lisu na hao wengine. Yaani watu wengine, huwezi zuia hoja au ombi la mtu, kisa nawe unahisi unataka. Hivi ni vitu viwili tofauti. Pinga hoja kimantiki.
 
Tunapendekeza iundwe Tume ili kuondoa mizozo kwa Raia sababu Wana maswal mengi ya kujiuliza pia hata wewe unaweza kua moja ya sababu ya sis kudai uchunguzi ufanyike sababu unawasi wasi Sana juu ya uchunguzi sijui unaogopa nn
Hakuna mwenye wasiwasi na uchunguzi wa kifo cha mtu yeyote ka kuna sababu ya msingi ya kufanya hivyo.

Yeye kafa kwa corona, sawa na alivyokufa Katibu wake mkuu, Waziri wake wa mambo ya nchi za nje, na wengine wengi. Je, tunawaundia kamati hao wote?

Taarifa zipo wazi Muhimbili - kafa kwa tatizo la moyo lililochangiwa na corona.
 
Upupu ni weye ulonao make unadandia hoja bila kuelewa. Kama unamadai ya Lisu au sijui nani. Si wasilisha hoja au ombi lako. kuliko kupinga madai Lisu. Mwambie Lisu akufundishe sheria make unaropoka tu hujui njia ya kudai unachotaka. Oooh Lisu mara sijui nani hamjazuiwa kudai haki zao dai. Siyo unakurupuka kudandia hoja. Nani kakuzuia kuomba uchunguzi wa Lisu na hao wengine. Yaani watu wengine, huwezi zuia hoja au ombi la mtu, kisa nawe unahisi unataka. Hivi ni vitu viwili tofauti. Pinga hoja kimantiki.
Kwani Lissu kaanza kuomba uchunguzi leo au ndo mshale kwa nguruwe? Si mwendazake ndo alizuia haki ya Lissu kufanyiwa uchunguzi wa tukio lake? Tulia hivo hivo dawa ikuingie na ndo ujue malipo Ni hapa duniani na kwamba mla huliwa
 
Kigogo na Lissu kupata Taarifa nalo linawaumiza kwani?? Siasa Fitna bila kua na Intelejensia ya kutosha huwezi endesha siasa yoyote kwahio hizo ni intelejensia za Lissu ambazo hata Ccm wanazo zinawasaidia kupata taarfa za vyama vyote vya Siasa nchi.
 
Wasukuma huwa wana mambo, mtu akifa kalogwa tu. Mtu akiugua kipindu pindu, dysentery, au kichocho ni kalogwa tu. Sijui mtaelimika lini?
Bibi mzee miaka 80 wanamu expose kwenye Moshi wa kuni mwanzo mwisho matokeo yake macho yakiwa mekundu eti ni mchawi!!! Wanamuua!!!!
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Vipi amekuachia mimba?
 
weye naona umekaririshwa. Ongea mengine. Hilo la Nyerere ulishalisemea. Kifo cha Nyerere siyo msingi wa kifo cha Magufuli kutochunguzwa. Kila jambo lina mwisho wake.
Acha kumlinganisha Baba Wa Taifa la Tanzania na vikitu twa ajabu ajabu wewe. Shika adabu yako.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


MATAGA hamuamini kama Mungu ni fundi? Basi tuanze na ule Moshi wa wazee wakulima wa Korosho kule Lindi na Mtwara. Mpaka kampeni hakuthubutu kutia mguu. Kachimbueni mfu wenu huko udongoni mkafanye vipimo. Sisi tulishamzika na Mungu alishatupa Rais eliye kiongozi na si Dikteta.

Halafu hao watanzania wengi unaozungumzia ni akina nani? Kifupi kila mtanzania anaendelea na maisha kama kawaida. Wale wateule wachache mliojiona Mungu mtu ndiyo mnaohangaika kila siku kutuletea porojo za nyuzi zisizo kuwa na kichwa wala miguu. Tupeni break maana sasa Tinaijenga Jamhuri ya Muungano upya inayobeba kila mtanzania na Kazi inaendelea. Hakuna ukanda, hakuna ukabila, hakuna takataka yoyote itabakishwa.

Tulieni sindani ya kijiti iingie taratibu ili dawa iwaponye.

Mungu ni fundi kiboko yake hakuna mfano.
Endeleeni kupiga ramli na hakuna anayewasikiliza. Tuko busy na safishasafisha udikteta na kuweka viongozi wenye moyo wa nyama.

Poleni kwa msiba.
 
Back
Top Bottom