Napendekeza mfumo wa ‘Randomizer’ kwenye usajili wa ‘plate number’ za magari nchini

Napendekeza mfumo wa ‘Randomizer’ kwenye usajili wa ‘plate number’ za magari nchini

Thamani ya jumla ya magari nchini itapanda sana, pia itaondoa unyonge barabarani kwa wale wanaokuwa na namba za zamani, ila gari kafunga engine mpya, gearbox mpya, body halina accident kabisa, tairi mpya, ila mtu unashindwa kuuza kwa bei nzuri, kisa namba ‘C’
Nina yangu huu mwaka wa sita, siendeshi kiunyonge kabisa, bali opposite yake, naendesha nikijiamini, kuna gari namba mpya saiv zinauzwa scraper, nilishafatwa watu wakasambaza story kwamba natembelea gari haina usajili maana hawakuwa wakiamini condition ya gari na plate number haziendani. Mtu ataachagari ipo condition nzuri atanunua gari ina namba mpya halafu imsumbue
 
Nina yangu huu mwaka wa sita, siendeshi kiunyonge kabisa, bali opposite yake, naendesha nikijiamini, kuna gari namba mpya saiv zinauzwa scraper, nilishafatwa watu wakasambaza story kwamba natembelea gari haina usajili maana hawakuwa wakiamini condition ya gari na plate number haziendani. Mtu ataachagari ipo condition nzuri atanunua gari ina namba mpya halafu imsumbue
Daah, ila plate namba ikishakuwa namba A, B , C, inakuwa shida sana hasa kwa watu wasiojielewa, dawa ni ku-randomize namba za usajili wa magari, hii itainua sana sekta ya ‘car restoration’ nchini na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika kuagiza magari ‘restored/used’ ya Japan wakati tungeweza kufanya ‘restoration’ ya magari hapa hapa nchini na vijana wakapata ajira
 
Daah, ila plate namba ikishakuwa namba A, B , C, inakuwa shida sana hasa kwa watu wasiojielewa, dawa ni ku-randomize namba za usajili wa magari, hii itainua sana sekta ya ‘car restoration’ nchini na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika kuagiza magari ‘restored/used’ ya Japan wakati tungeweza kufanya ‘restoration’ ya magari hapa hapa nchini na vijana wakapata ajira
Watu watataka entry document kutizama imeingia lini nchini 😀
 
Badala ya mfumo wa sasa wa ‘TxxxAyy> TxxxByy > TxxxCyy > TxxxDyy , na sasa karibia tunaingia namba ‘E’ , ambapo mtu anakuwa anajua kabisa kwamba gari hii imesajili ya zamani au ni mpya.

Napendekeza namba zinazofuata baada ya kuisha kwa namba ‘D’ ziwe katika mfumo wa ku-‘Randomize’ ambapo panakuwa hakuna mtitiririko maalum katika usajili wa namba za magari, hii itasaidia mtu kuuza gari lake kulingana na hali iliyonayo, na sio kuangalia namba, unakuta gari zuri lina hali nzuri ila linakosa soko kisa ni namba A.

=================================

Watu wengi hununua gari toka Japan ili tu aweze kupata usajili mpya kwenye gari lake, na hivyo tunatumia pesa nyingi mno za kigeni kuagiza magari kama taifa, wakati huo huo kuna gari nyingi nchini zina hali nzuri kuliko hata hizo za kutoka japan (imefungwa engine mpya, gearbox mpya, matairi mapya, body halina accident damage, low mileage); ila linakosa soko kisa ni namba C, au B au A, ila kuna watu wanaagiza mikangafu toka Japan kisa tu itapata usajili mpya.

Hii itatoa fursa ya kuanzishwa kwa ‘Car restoration facilities’ ambazo zinalorudisha gari katika hali ya upya kama ilivyokuwa kiwandani, hata hao Japan ndivyo wanavofanya kiasi wakituuzia mkangafu sisi tunaona kama jipya, hii itatengeneza ajira nyingi sana!!!!

Pia itaokoa fedha nyingi tunazotumia kuagiza magari toka Japan, maana mtu ataona anunue hapa hapa nchini restored car ambayo haitamwaibisha barabarani kwa kuwa na plate number ya zamani...
Itunze gari yako. Gari za zamani zilizotunzwa zina bei kuliko gari mpya.
 
Watu wengi hununua gari toka Japan ili tu aweze kupata usajili mpya kwenye gari lake, na hivyo tunatumia pesa nyingi mno za kigeni kuagiza magari kama taifa, wakati huo huo kuna gari nyingi nchini zina hali nzuri kuliko hata hizo za kutoka japan (imefungwa engine mpya, gearbox mpya, matairi mapya, body halina accident damage, low mileage); ila linakosa soko kisa ni namba C, au B au D, ila kuna watu wanaagiza mikangafu toka Japan kisa tu itapata usajili mpya.

Hii itatoa fursa ya kuanzishwa kwa ‘Car restoration facilities’ ambazo zinalorudisha gari katika hali ya upya kama ilivyokuwa kiwandani, hata hao Japan ndivyo wanavofanya koasi wakituuzia mkangafu sisi tunaona kama jipya, hii itatengeneza ajira nyingi sana!!!!

Pia itaokoa fedha nyingi tunazotumia kuagiza magari toka Japan, maana mtu ataona anunue hapa hapa nchini restored car ambayo haitamwaibisha barabarani kwa kuwa na plate number ya zamani...
Kupata gari lenye hali nzuri hapa bongo yataka uwe mzoefu kwa kweli, kuna kubambikiana kwingi sana aisee
 
Binafsi nadhani tungerudi kwenye utaratibu wa kusajili magari kutokana na mikoa yanapotoka na mwishoni herufi mbili zozote.Mfano wale wa Iringa,gari inaweza kuwa IR 2345 GN,kwa Dar Es Salaam ingekuwa kwa manispaa yatokapo mfano,Kinondoni ingekuwa KN 3124 TU.Pia hata uhalifu wa kutumia magari ungepungua.
Nchi za East africa zingekuwa na uniformity ya kusajili licence plates.

Tutumie za kwetu ila bendera inakuwa na EAC.

Ile herufi ya mwanzo inaonesha nchi husika kama T au K au U au R au B au S au C.
 
Binafsi nadhani tungerudi kwenye utaratibu wa kusajili magari kutokana na mikoa yanapotoka na mwishoni herufi mbili zozote.Mfano wale wa Iringa,gari inaweza kuwa IR 2345 GN,kwa Dar Es Salaam ingekuwa kwa manispaa yatokapo mfano,Kinondoni ingekuwa KN 3124 TU.Pia hata uhalifu wa kutumia magari ungepungua.

Utaratibu huu nadhani ulikuwepo miaka ya nyuma nakumbuka gari zilisajiliwa kimkoa mfano Tabota zilianzia TB xxx, Tanga zilikua TAUxxxx Arusha ARS nk baadae ndio tukahamia hapa tulipo miaka hii ya karibuni nadhani serikali ilifanya hivi kwa kusudi na naloliona mimi ni za kiusalama zaidi kama source ya kutoa namba ni moja na kwa mtiririko mmoja ni ngumu sana kujirudia namba na ni rahisi kucontrol.
 
Hata kule Japan ndicho wanachofanya, gari inakuja huku utasema mpya; kinachokwamisha ‘Car restoration facilities Tz ni plate number, unatumia gharama kurestore gari halafu ukienda sokoni unaambiwa hiyo namba B chukua milini 2, inatukwamisha sana kama taifa na kuexport ajira kwenda Japan, maana gari za Japan tu ndio zinapewa usajili mpya, tunawatajirisha wao na kujifukarisha wenyewe
Sina uhakika na wanachofanya mataifa mengine yanayofanana na sisi, lakini ninachoona mimi wazo lako litawaongezea matapeli uwanja mpana zaidi wa kupiga pesa za wanunuaji wasiokuwa makini.

Tanzania tayari siyo mahali pa kuaminika sana kwa ununuzi wa vitu kama magari sababu ya utapeli unaowezeshwa na misrepresentation of facts. Mfano wanaofanya restoration kwa lengo la kuuza, huipamba gari kwa nje huku wakificha madhaifu ya ndani ili kupata bei nzuri.

Tukiongeza mwanya wa kuficha umri wa gari tutazidi kuongeza matatizo kwenye hii biashara. Ni afadhali mtu awe na taarifa sahihi za anachotaka kununua, zikiwepo zile zinazoonekana wazi pamoja na zile zinazomtaka akasome kwenye documents.
 
Back
Top Bottom