Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
- Thread starter
-
- #61
Ulichoandika ulitakiwa ukihariri kabla ya kukileta jukwaanikwaweli kila ninachotaka kuandika vidole vinakataa!
huyu aliyeondoa vitabu vya kuongeza ujasili kwenye literature, jeshi miezi sita na Migomo Vyuo Vikuu ametuletea janga kwenye jamii.
sasa tunatakiwa turudi upya porini tutailiwe tena kavukavu tena kwa kisu cha ghariba labda akili zitatukaa sawa.
lakini najiuliza itawezekana kwa kizazi hiki kilichodekezwa na kukulia mapajani watoto wachanga?
ndani mwangu wakati mwingine nawaza mbali zaidi huwenda kizazi hiki wengine wamelala na mama zao au baba zao na kuwaona ndio wanawake na wanaume wanaofaa zaidi matokeo yake ndo haya sasa tumekuwa na kizazi kinachoona mwisho kioo kama mama zao.
Kwa nini usioneshe uzalendo kwa kwenda mahakamani kubadili majina yako kuwa SAMIAWadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Unahitaji maombiYani niliposoma heading to ya hii thread...Tusi kubwa sana lilinijia akilini.
Dah,,
Ninesema mkoa tu mtampunja, badilisheni jina la nchi kabisa liwe Tanzasamia.Kwa sasa hakuna Mkoa wa Samia
Unapendekeza au Unajipendekeza?Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Na Roboti Eunice
Mkoa mmoja hautoshi,jina la nchi libadilishwe iitwe Samia banana republicMwanza ibadilishwe iwe mkoa wa SAMIA
Kama kitendawili vile...Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Mkoa ni Eneo dogo sana ukilinganisha na SIFA ulizompa mie napendekeza NCHI kitwe jina lake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
usidhani samia ni zuzu kiasi hichoWadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Haya bhana sawa!! Tukiona inafaa zaidi jina la Tanzania libadilishwe na kuitwa Suluhu Hasan.Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Kweli kabisa. Ukiachana na huyu kuna wengine pamoja na umaskini wao eti wanamchnagia kununua gari mtu anayejiita Wakili Maarufu, Makamu Mwenyekiti wa chama na mtu anayejivunia kuwa familia yake inaishi Ulaya na watoto wake ni raia wa Marekani! Just imagine hawa vijana wanaoongozwa na Erythrocyte humu JF, zinawatosha kweli?Aisee Mungu okoa nchi hii. Vijana wamekuwa machawa kupitiliza halafu wamebadili maana ya uzalendo kuwa ni uchawa. Hii nchi iko doomed kama mambo yakiendelea hivi.