Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
 
Tatizo hawa wanaopewa nafasi ya kusimama kama Makamu wa Rais huchukuliwa kama wasindikizaji tu, watu wepesi wepesi, ili ku- balance gender.

Sasa bahati mbaya kwetu, huyu "mwepesi mwepesi" amejikuta ameingia ikulu kwa mlango wa nyuma, matokeo yake ndio haya, anatuthibitishia alivyo mwepesi kwa kuzigawa bure bandari zetu zote Tanganyika kwa wajomba zake.

Mimi naona sasa hili liwe funzo kwetu, kwani licha ya kubadili sheria baada ya kifo cha Rais aliyepo madarakani mambo yaende vipi, lakini pia, panahitajika umakini mkubwa sana wanapoteua jina la mgombea mwenza wa Rais, huyu ndie mshauri namba moja wa Rais, hatakiwi kuwa kilaza.

Kwasababu imeonekana huyu makamu anaweza kuingia ikulu bila kutarajiwa, sasa kama mtu asiyetarajiwa akiingia ikulu, huku upeo wake ukiwa unatia mashaka, matokeo yake ndio anakosa msimamo, anapelekwa hovyo na kundi analoliamini, na pale anapoamua kufanya jambo lake, basi ndio anakosea 100% huku akigoma kubadilika.
 
Igweeeeeeeeee,
Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.
Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake.
Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo. Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Kwani makamu wake ilikua haja changuliwa kwa pamoja nae, wewe huoni kipindi cha ujaguzu picha zinakua za watu wawili, hizo pesa za kuharibu hazipo.
 
1689489285917.png

Katiba mpya HAIEPUKIKI!
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Vitu vitatu vinavyotafuna hela saaana ni
1. Vita
2. Sensa
3. Uchaguzi

Uchaguzi utatufilisi kisa kumuweka mtu madarakani.
Hilo wazo kwangu NALIPINGA
 
Vitu vitatu vinavyotafuna hela saaana ni
1. Vita
2. Sensa
3. Uchaguzi

Uchaguzi utatufilisi kisa kumuweka mtu madarakani.
Hilo wazo kwangu NALIPINGA
Gharama ya uchaguzi ni ndogo kuliko hasara ya kuongozwa na mtu ambaye amepata uongozi kimserereko. Nadhani hili halihitaji hata kutumia nguvu kulielezea. Kwa mfano, kama hili suala la DP World na kile kinachosemwa na wakosoaji ni kweli, basi lazima utakubaliana na hili la Makamu kuwa kiongozi wa mpito tu kwa siku 90 na asifanye mabadiliko yoyote wala kusaini mikataba yoyote.
Vinginevyo mnaweza kujikuta mmeuza nchi eti tu kwa kuogopa kutoa hata trilioni 5 za kufanya uchaguzi wa Rais wa wananchi atakayekuwa mlinzi wa nchi na wananchi wake.
 
Tatizo hawa wanaopewa nafasi ya kusimama kama Makamu wa Rais huchukuliwa kama wasindikizaji tu, watu wepesi wepesi, ili ku- balance gender.

Sasa bahati mbaya kwetu, huyu "mwepesi mwepesi" amejikuta ameingia ikulu kwa mlango wa nyuma, matokeo yake ndio haya, anatuthibitishia alivyo mwepesi kwa kuzigawa bure bandari zetu zote Tanganyika kwa wajomba zake.

Mimi naona sasa hili liwe funzo kwetu, licha ya kubadili sheria baada ya kifo cha Rais aliyepo madarakani mambo yaende vipi, lakini pia, panahitajika umakini mkubwa sana wanapoteua jina la mgombea mwenza wa Rais, huyu ndie mshauri namba moja wa Rais, hatakiwi kuwa kilaza.

Kwasababu imeonekana huyu makamu anaweza kuingia ikulu bila kutarajiwa, sasa kama mtu asiyetarajiwa akiingia ikulu, huku upeo wake ukiwa unatia shaka, matokeo yake ndio anakosa msimamo, anapelekwa hovyo na kundi analoliamini, na pale anapoamua kufanya jambo lake, basi ndio anakosea 100% huku akigoma kubadilika.
Kwa kweli ni hatari sana kuongozwa na mtu ambaye hamkumchagua kwa nafasi hiyo. Hata uchungu wake kwenu na nchi yenu anakuwa hana kabisa!
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Kuitisha uchaguzi wa rais nchi nzima usidhani ni Tsh 100
 
Kuitisha uchaguzi wa rais nchi nzima usidhani ni Tsh 100
Hasara ni hasara tu Mkuu.
Yaani hasara tuliyoingia March 17, 2021 ni kubwa kuliko ile hasara tuliyoingia kwa miaka miwili ya vita dhidi ya Uganda (1978/1979).
Hivyo, sioni kama ni vibaya kuingia hasara ya fedha kidogo kufanya uchaguzi ili kuongozwa na mtu mliyempigia kura kwa nafasi hiyo.
You can just imagine how the situation is going on currently!
 
Mtu anakuwa mkulu anafikiri ni favor au kabebwa na kuishia kuwasikiliza zaidi "magodfather" kama fadhila. Ni muhimu mtu ajisikie na kuona wajibu wake ni kwa wananchi tu!
Exactly,
You said it all.
 
Ni hatari sana kwa kiongozi kuongoza kwa maslahi ya wachache wenye nguvu na kuwapuuza wengi ambao ni wanyonge.
Mtu anakuwa mkulu anafikiri ni favor au kabebwa na kuishia kuwasikiliza zaidi "magodfather" kama fadhila. Ni muhimu mtu ajisikie na kuona wajibu wake ni kwa wananchi tu!
 
Back
Top Bottom