Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Hasara ni hasara tu Mkuu.
Yaani hasara tuliyoingia March 17, 2021 ni kubwa kuliko ile hasara tuliyoingia kwa miaka miwili ya vita dhidi ya Uganda (1978/1979).
Hivyo, sioni kama ni vibaya kuingia hasara ya fedha kidogo kufanya uchaguzi ili kuongozwa na mtu mliyempigia kura kwa nafasi hiyo.
You can just imagine how the situation is going on currently!
Situation mbona iko sawa tu sema kuna watu wanakuza mambo kwa maslahi yao ila mambo yapo shwari tuu sio kubwa kiasi cha kutishia amani
 
Naunga mkono hoja 100%
Hivi kwenye katiba mpya inayopendekezwa hiki kipengele kimekaaje?
Anyway, kama hakipo hivyo, basi itabidi kifanyiwe marekebisho.
Hii itamfanya Mh. Rais asiwe anakuwa na mashaka au kutoaminiana na Makamu wake wa Rais.
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkono hoja.
 
Situation mbona iko sawa tu sema kuna watu wanakuza mambo kwa maslahi yao ila mambo yapo shwari tuu sio kubwa kiasi cha kutishia amani
Lakini si jambo jema kwa kiongozi wa juu hivyo kulalamikiwa na asilimia kubwa ya unaowaongoza!
Ingekuwa 50 kwa 50 hapo sawa, lakini kwa utafiti wangu uchwara, asilimia 90 ya Watanzania ni kama hawaielewi elewi hii serikali iliyopo madarakani.
Sema tu kati ya vitu Watanzania tumefundishwa toka tukiwa wadogo, ni pamoja na uoga uliopitiliza wa kuogopa kutoa maoni juu ya kile unachokiamini.

Ndo maana hata juzi Mh. Balozi msitaafu Dk. Wilbroad Slaa anasema wengi wa walioko nyuma ya wale wanaopinga DP World ni viongozi wakubwa wa CCM!!
 
Lakini si jambo jema kwa kiongozi wa juu hivyo kulalamikiwa na asilimia kubwa ya unaowaongoza!
Ingekuwa 50 kwa 50 hapo sawa, lakini kwa utafiti wangu uchwara, asilimia 90 ya Watanzania ni kama hawaielewi elewi hii serikali iliyopo madarakani.
Sema tu kati ya vitu Watanzania tumefundishwa toka tukiwa wadogo, ni pamoja na uoga uliopitiliza wa kuogopa kutoa maoni juu ya kile unachokiamini.

Ndo maana hata juzi Mh. Balozi msitaafu Dk. Wilbroad Slaa anasema wengi wa walioko nyuma ya wale wanaopinga DP World ni viongozi wakubwa wa CCM!!
Unajua kuna watu wanalipwa hela ili kupiga kelele swala la bandari?

Na hao CCM ndio wezi na ndio walio tufikisha hapa kwa sababu ya wizi na ukwepaji kodi kwa hivyo kuwa sehemu ya kupinga ni jambo la kawaida kabisa kama ilivyo kuwa wakati wa kubinafsisha NMB wakati wa awamu ya 3

Watu wamesha zoea kupitisha makontena bila kulipa kodi ,watu wamesha zoea ku forge document za mzigo unadhan hao watakubaliana na hilo? Wakati wanajua mirija inaenda kukatika?
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Pia tuwe na utaratibu kuwavet viongozi wetu. Tuchukue wenye uwezo wa kuona mbali kwa mstakabali wa taifa.

Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
 
Gharama ya uchaguzi ni ndogo kuliko hasara ya kuongozwa na mtu ambaye amepata uongozi kimserereko. Nadhani hili halihitaji hata kutumia nguvu kulielezea. Kwa mfano, kama hili suala la DP World na kile kinachosemwa na wakosoaji ni kweli, basi lazima utakubaliana na hili la Makamu kuwa kiongozi wa mpito tu kwa siku 90 na asifanye mabadiliko yoyote wala kusaini mikataba yoyote.
Vinginevyo mnaweza kujikuta mmeuza nchi eti tu kwa kuogopa kutoa hata trilioni 5 za kufanya uchaguzi wa Rais wa wananchi atakayekuwa mlinzi wa nchi na wananchi wake.
Tusubiri 2025 agombee tuone kama mtamchagua mtu mwingine maana kashaanza kupanga safu yake pale TUME YA UCHAGUZI 😅😅😅 MAPURI NDANI!!!
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Umba nchi yako
 
Gharama ya uchaguzi ni ndogo kuliko hasara ya kuongozwa na mtu ambaye amepata uongozi kimserereko. Nadhani hili halihitaji hata kutumia nguvu kulielezea. Kwa mfano, kama hili suala la DP World na kile kinachosemwa na wakosoaji ni kweli, basi lazima utakubaliana na hili la Makamu kuwa kiongozi wa mpito tu kwa siku 90 na asifanye mabadiliko yoyote wala kusaini mikataba yoyote.
Vinginevyo mnaweza kujikuta mmeuza nchi eti tu kwa kuogopa kutoa hata trilioni 5 za kufanya uchaguzi wa Rais wa wananchi atakayekuwa mlinzi wa nchi na wananchi wake.
Uchaguzi wa raisi na hata wabunge ni pesa kidogo sana wala haifikii 400 bilioni
 
Yaani!
 

Attachments

  • 5394886-774acdfc87d3afa8f4140ab87cefff5c.mp4
    1.1 MB
Naunga mkono hoja, huyo makamu baada ya kumpata rais mpya aendelee kupata stahiki kama rais mstaafu kwa kipindi hiko. Akishindwa kutaka kugombea basi aendelee na stahiki za makamu wa rais mstaafu.

Kwa kuzingatia gharama za uchaguzi, nakuzingatia pia kinaendelea kuwa ni kipindi cha mpito tunaweza weka utaratibu wa kumchagua rais.

Kwa mfano tunaweza weka majukumu hayo kwa madiwani wote wakiwemo wabunge, wenyeviti/makatibu wa vya siasa.
 
Back
Top Bottom