Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Mimi napendekeza Usultani tu, Rais wa milele na akitangulia anashika madaraka mrithi ataemchaguwa yeye akiwa hai.
Naunga mkono hoja, ila tumpate kwanza mzalendo kama Hayati JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…