Napendekeza Rais wetu aitwe Mungu

Mwehu.......wewe
 
Rahisi ndio nani?
 

[emoji1][emoji1] kwani Lucus anasemaje?
 
Najua ni utani tu. Sio serious
 
Naunga mkono hoja, the rest tumuachie Mungu muumba wa mbingu na ardhi afanye finishing.
 
🤔🤔🤔 sjui tunafanya njia gani la kulisaidia hili taifa kwa maombi aitatosha bila kuweka sheria ngumu na kali kwa hawa wangonjwa wa afya ya akili
 
Serious?....
 
Yaani shida zote zimeisha likebaki hilo tu?
 
Huyo tayari walishampendekeza
 

Attachments

  • 20240610_194354.jpg
    189.2 KB · Views: 1
Nenda kapimwe akili ww.
 
Ungesema kwa mujibu wa Katiba iliyopo ila sisi kumuita hivyo tutakuwa tunatnda thambi kwani Mungu ni mmoja tu anayeabudiwa na Rais pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…