Napendekeza Rais wetu aitwe Mungu

Hakuna binadamu aliye kamilika ndiyo maana una lala, sinzia unaenda chooni na mengine mengi ambayo siwezi kuyataja unapokuwa umelala wengine wako macho kwakifupi hakuna binadamu aliye kamilika

Hata hivyo tumekuelewa maana ya uwakilishi wako, wanao ahirisha kufikiri kizalendo, (jizima data), hawawezi kukuelewa
 
wewe ni mpumbavu sana, mtafute Mungu kabla hujachelewa ukajikuta upo jehanum tayari. Herode alikuwa na akili kama za kwako, na alikuwa na machawa hivihivi, alipoiba utukufu wa Mungu, aliliwa na chango mbele za watu akafa kwa aibu imebaki historia hadi kesho.
 
Kwamba ili afurahi😆,..... hasa chawa na kunguni🤣
 
Huyo mungu wenu anaepelekewa moto usiku kucha juu ya meza na jikoni na kibabu babu mpaka akawazaa akina abdul mimi simtambui kwangu hawezi kuwa Master Of Directions
Majanga mengine huwa tunajitafutia.
Hili balaa kama la yule kijana mchoma picha.
Naomba sana uwe unaishi nje ya nchi fulani yasikukute ndugu yangu.
 
Umevuka viwango vya uchawa, jipendekezee jina zaidi ya Uchawa mkuu!!!
 
Au aitwe mfalume zumaridi chini ya jua
 
Sasa mungu anaonekana embu acha uchizi basi
 
Acha kufuru!
 
Aitwe mungu mara ngapi...

Amedhajitwalia utukufu wa Mungu. Mwache ashinde mechi zake na aliyemuumba
 
NAUNGA MKONO HOJA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…