Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unajua nchi kuoza wewe? Hujaenda nchi zilizooza, siku ukifanikiwa kufika nchi zilizooza utafunga huo mdomo wakoMtanzania ni kiunbe wa ajabu sana. Unafurahia nchi kuoza?
Nasubiri hicho kikao na Mungu ambacho mtashiriki ndo nijue Mungu wenu Ni Nani.Hatutashiriki vikao vya shetani
hupendi kuambiwa ukweli,hilo ni tatizo lako sugu.Una uwezo duni sana !
majinga hayajui hata namna bora ya kula na kipofu.Siro hajaitisha kikao na vyama vya siasa. Msajili ndiye aliyeitisha kikao hicho. ( siku nyingine andika vizuri ,uache kupindisha kama gwajiboy)
Bila kujali matokeo ya hicho kikao, nawashauri mhudhurie ili angalau mpate sababu za reactions zenu baadae.
[emoji445][emoji444][emoji99]
wewe si sisimizi tu humu jf una mamlaka ya kumkatalia kiongozi gani wa upinzani asihudhurie huo mkutano???Hatutashiriki vikao vya shetani
Naunga MKONO hoja kwa asilimia 100Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP , Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani , ameshiriki kuvuruga , kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote , Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha ccm , NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA , Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro , kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani , bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro .
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa ccm .
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP
NAKALA : John Mnyika
Kushiriki ni muhimu kwa hilo siungi mkono hojaMsiposhiriki maana yake kila mkiandaa chochote mtatwangwa, amueni kusuka au kunyoa
Ni kweli mzee, bora kwenda kusikiliza ni nini kinazungumzwa kuliko kutokwenda kabisaKushiriki ni muhimu kwa hilo siungi mkono hoja
Vita yoyote ile huwa inamalizwa kwa njia ya mazungumzo na siyo nguvuNi kweli mzee, bora kwenda kusikiliza ni nini kinazungumzwa kuliko kutokwenda kabisa
akutane na Gwajima ndio saizi yake, bladi fuliKwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP , Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani , ameshiriki kuvuruga , kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote , Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha ccm , NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA , Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro , kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani , bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro .
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa ccm .
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP
NAKALA : John Mnyika