Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Na wewe kwa akili zako nyingi unadhani Lema, Mbowe, Sugu, Msigwa, Mnyika na Pambalu watalipeleka wapi hili taifa wakipewa nchi?Wewe kwa akili zako nyingi unavyoona,hawa watawala wanaipeleka wapi ili Taifa?
Hahaha, Sawa, ila lete fyokofyoko tukuvunje kiuno, mtulie hivyo hivyo kama mlivyotuliaKUBWA JINGA WEWE, LIONE KULE
Sasa mbona unajibu kama hujali? Upuuzi mtupu.Kwani nani anajali comments za taahira kama wewe upo kama msukule hujawahi kuwa na hoja zaidi ya kuporomosha matusi. Karibu kwa kutukana zaidi kama kawaida yako.
Samia anakosea mno kutowasikiliza wapinzani atajutia baadaye.Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa CCM, huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya CCM kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA: John Mnyika
I >100% support you.Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa CCM, huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya CCM kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA: John Mnyika
Hatutashiriki vikao vya shetani
Wakakae na maccm yao wawaeleze kuwa hawako tayari kuwatumikia kinyume na katibaNaunga mkono hoja kwa asilimia 100
Huyo Sirro hana "credibility" ya kuhudhuria kikao hicho.
Ingawa pia huyo Mutungi naye tuhisi kuwa ametokewa na Roho Mtakatifu Hadi kufikia uamuzi huo??
Kwa kuwa na yeye pia hana "credibility" ya kuitisha kikao hicho kwa namna na yeye pia alivyo-side na upande wa Chama tawala Katika kipindi chote, tokea ateuliwe kwenye nafasi hiyo nyeti Sana hapa nchini
Au tuite kuwa kuna shinikizo kubwa kwenye Jumuia ya Kimataifa ndiyo imemfanya huyo Msajili wa vyama vya siasa apige hiyo U-turn yake??
Kuna maswali mengi yanayokosa majibu kwenye huu mwelekeo mpya wa Msajili wa vyama vya siasa
Umenikumbusha watu wasiojulikanaKwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa CCM, huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya CCM kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA: John Mnyika
Kubalini wito mka-mchalenge kwa hoja......Una uwezo duni sana!
IGP hana mamlaka hayoKubalini wito mka-mchalenge kwa hoja......
mpeni maoni yeni wekeni msimamo wenu....
kukataa wito ni utoto......
tek that
Si ndio huyu kila siku anazuia mikutano yenu.....IGP hana mamlaka hayo
Si ndio huyu kila siku anazuia mikutano yenu.....IGP hana mamlaka hayo
Naunga mkono 100%Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa CCM, huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya CCM kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA: John Mnyika
Kwani miaka yoye si ndiyo kazi ambayo amekuwa akiifanya? Ambao amekuwa anawatwanga, bado wanaishi, ambao amekuwa anawakumbatia, baadhi hawapo.Msiposhiriki maana yake kila mkiandaa chochote mtatwangwa, amueni kusuka au kunyoa
Kwa kuwa mnajua hakuna athari, mnahangaika na kuandaa hiyo mikutano kwaajili ya nini? Si lengo ilikuwa kumtesa Mbowe? Tayari yupo mahabusu. Bado hamjaridhika tu?Mshiriki msishiriki hakuna athari yeyote Kwa nchi hi[emoji23][emoji1787]
Yaani chui na Simba wanamuita swala kwenye kikao uliona wapi? uliona wapi?Msiposhiriki maana yake kila mkiandaa chochote mtatwangwa, amueni kusuka au kunyoa
Dua la kuku halimpati mwewe [emoji23][emoji1787]Kwa kuwa mnajua hakuna athari, mnahangaika na kuandaa hiyo mikutano kwaajili ya nini? Si lengo ilikuwa kumtesa Mbowe? Tayari yupo mahabusu. Bado hamjaridhika tu?
Mna uwezo wote kwenye utawala wa shetani, lakini hamna chochote wala nguvu yoyote mbele ya utawala wa Mungu. Tukio la TAL vs JPM, kama mngekuwa na akili hata ndogo sana sawa na chembe ya haladali, mngekuwa mmejifunza, lakini shetani amewapofusha ili awapitisha kwenye uovu wote kabla ya kutambua kuwa mwisho wa waovu wote ni jehanamu.
Mnachezewa shere tu muingie kwenye 18, Tanzania hakuna upinzani kuna waropokaji tuHakuna adhari kwa nchi? Unahisi mpaka wakaitisha kikao ni jambo dogo ee? Ukikua utaelewa nguvu ya upinzani ndani ya nchi.