Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi Kwi Kwi , Habari za GeitaJenga basi kama hela ni zenu
Choo tu huna Bwege
Vitisho na uchawi ndio silaha ya Masikini, alinishindwa Jiwe Mwenyewe ndio uwe wewe mtumwa wake! itakuwa ajabu kweli!Nakupa onyo la mwisho
Usirudie kutaja jina La Magufuli
Utaishia wenzio walipoishia😝
Hakuna kiongozi katili aliyeenziwa, wadanganye wajinga wenzioTembea duniani kote ni kawaida sana hilo
Swali la kipumbavu, mbona pamoja na michango na ruzuku wanazopewa chadema, mbowe kashindwa kujenga ofisi?Kajengea hela zake?
Ujinga mkubwa ni kumhusisha Mbowe kwenye nyuzi zanguSwali la kipumbavu, mbona pamoja na michango na ruzuku wanazopewa chadema, mbowe kashindwa kujenga ofisi?
Ndege zimepewa majina gani?Hakuna majina mengine kama ya vivutio vya kitalii na mengine.
Ingeitwa Dar es salaam rail way station, Dodoma rail way station, Morogoro railway station INGEKUAJE
Zinaitwa HAPA KAZI TUNdege zimepewa majina gani?
Huko mbele I itabidi wananchi wabafirishe. Haiwezekani kila kitu wapewe majina yale yale. Imagine Dar kuna stand ya Magufuli halafu tena kuna Station ya Magufuli. Bora wangempa ya Mwanza kutofautisha.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia
View attachment 3058919
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Ulikujaje jf kama ubongo huna?Baada ya kujua nifanyeje sasa?
Huu ujinga upo huku Africa tu
Yaani vitu vijengwe kwa kodi zetu alafu wanaandika majina ya koo zilizofaidi keki ya nchi huoni kuwa wanasimika mizizi ya wao na watoto na wajukuu zao kuendelea kurithishana madaraka
Nimetembea sana ..Tembea duniani kote ni kawaida sana hilo
JPM ni kiongozi wa kuigwa kwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi aliokaa madarakani.Siku watu wakijua kua tulipata hasara kubwa sana kumpoteza huyu mtu itakua too late
Maendeleo hayaletwi kwa kubembelezana, hata kwako kwenye familia usipokua imara na mwenye msimamo familia ya watu watano itakushinda, achilia mbali watu milioni 60, imagine baba unarudi nyumbani Kila mtu anataka demokrasia, mke anataka kula hiki, mtoto hiki, dada wa kazi hiki, inafika mahali baba ukiamua Leo ni wali mboga mboga period hakuna mjadala
Stallin aliua watu mamilioni na mamilioni ili waanze safari upya kwenda kwenye maendeleo, hakuna nchi wamepata maendeleo the easy way, huko us red indians wameuliwa sana
Mwisho ya yote hapo china, mao mnyama alikua hajui kubembeleza, ni kupiga kazi mwanzo mwisho ukizubaa unakufa, ndo alileta nidhamu ya kazi china huko mpaka Leo
Huku vijana wapo busy na kubet, uchawa, ushoga na kulia Lia In the name of democracy
Magu alitakiwa akaze zaidi ya pale, na Kuna virusi angetakiwa aviondoe atleast Leo tungekua somewhere, watu walikua busy kuponda miradi yake Leo hii ndo wakwanza kuizindua, watu wa dar kueni na aibu, nilishatelekeza gari service road ya ubungo kuwahi mtihani chuo, foleni ilikua sio poa kipindi Iko
Amekosea ya kwake, ila let's call a spade a spade, the guy did a lot in his term!!!
Ulitaka iitwe Mbowe?
Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli.
Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.
Nadhani hizi ni chuki
Marais wote isipokuwa Nyerere ni majizi lakini Magufuli ni muuaji katili anayestahili kulaaniwa mileleSiku watu wakijua kua tulipata hasara kubwa sana kumpoteza huyu mtu itakua too late
Maendeleo hayaletwi kwa kubembelezana, hata kwako kwenye familia usipokua imara na mwenye msimamo familia ya watu watano itakushinda, achilia mbali watu milioni 60, imagine baba unarudi nyumbani Kila mtu anataka demokrasia, mke anataka kula hiki, mtoto hiki, dada wa kazi hiki, inafika mahali baba ukiamua Leo ni wali mboga mboga period hakuna mjadala
Stallin aliua watu mamilioni na mamilioni ili waanze safari upya kwenda kwenye maendeleo, hakuna nchi wamepata maendeleo the easy way, huko us red indians wameuliwa sana
Mwisho ya yote hapo china, mao mnyama alikua hajui kubembeleza, ni kupiga kazi mwanzo mwisho ukizubaa unakufa, ndo alileta nidhamu ya kazi china huko mpaka Leo
Huku vijana wapo busy na kubet, uchawa, ushoga na kulia Lia In the name of democracy
Magu alitakiwa akaze zaidi ya pale, na Kuna virusi angetakiwa aviondoe atleast Leo tungekua somewhere, watu walikua busy kuponda miradi yake Leo hii ndo wakwanza kuizindua, watu wa dar kueni na aibu, nilishatelekeza gari service road ya ubungo kuwahi mtihani chuo, foleni ilikua sio poa kipindi Iko
Amekosea ya kwake, ila let's call a spade a spade, the guy did a lot in his term!!!
AmenMarais wote isipokuwa Nyerere ni majizi lakini Magufuli ni muuaji katili anayestahili kulaaniwa milele
Umewahi kupotelewa na ndugu yako wa karibuKiongozi mwovu asingejenga SGR na JNHP,
Magu alikuwa Rais WA kupigiwa mfano.