Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Mimi sipo kwa Magufuli tu.

Hivyo vituo havikuwa na haja ya kuvipa majina ya marais .

Kuna watu wengi tu wameifikisha hapo nchi ilipo na walikuwa waaadilifu na wazalendo wa kweli ila ndio wamesahaulika.
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Huko mbele I itabidi wananchi wabafirishe. Haiwezekani kila kitu wapewe majina yale yale. Imagine Dar kuna stand ya Magufuli halafu tena kuna Station ya Magufuli. Bora wangempa ya Mwanza kutofautisha.
 
It is better to logic creature and not emotional creature

MTU anaweza asiwe mzuri katika eneo fulani ila hiyo haimaniishi mambo mengine sio mzuri.

So JPM katika miundombinu amefanya Kazi nzuri we need to respect his legacy
 
Siku watu wakijua kua tulipata hasara kubwa sana kumpoteza huyu mtu itakua too late

Maendeleo hayaletwi kwa kubembelezana, hata kwako kwenye familia usipokua imara na mwenye msimamo familia ya watu watano itakushinda, achilia mbali watu milioni 60, imagine baba unarudi nyumbani Kila mtu anataka demokrasia, mke anataka kula hiki, mtoto hiki, dada wa kazi hiki, inafika mahali baba ukiamua Leo ni wali mboga mboga period hakuna mjadala

Stallin aliua watu mamilioni na mamilioni ili waanze safari upya kwenda kwenye maendeleo, hakuna nchi wamepata maendeleo the easy way, huko us red indians wameuliwa sana

Mwisho ya yote hapo china, mao mnyama alikua hajui kubembeleza, ni kupiga kazi mwanzo mwisho ukizubaa unakufa, ndo alileta nidhamu ya kazi china huko mpaka Leo

Huku vijana wapo busy na kubet, uchawa, ushoga na kulia Lia In the name of democracy

Magu alitakiwa akaze zaidi ya pale, na Kuna virusi angetakiwa aviondoe atleast Leo tungekua somewhere, watu walikua busy kuponda miradi yake Leo hii ndo wakwanza kuizindua, watu wa dar kueni na aibu, nilishatelekeza gari service road ya ubungo kuwahi mtihani chuo, foleni ilikua sio poa kipindi Iko

Amekosea ya kwake, ila let's call a spade a spade, the guy did a lot in his term!!!
JPM ni kiongozi wa kuigwa kwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi aliokaa madarakani.
 
Ulitaka iitwe Mbowe?

Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli.

Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.

Nadhani hizi ni chuki
Siku watu wakijua kua tulipata hasara kubwa sana kumpoteza huyu mtu itakua too late

Maendeleo hayaletwi kwa kubembelezana, hata kwako kwenye familia usipokua imara na mwenye msimamo familia ya watu watano itakushinda, achilia mbali watu milioni 60, imagine baba unarudi nyumbani Kila mtu anataka demokrasia, mke anataka kula hiki, mtoto hiki, dada wa kazi hiki, inafika mahali baba ukiamua Leo ni wali mboga mboga period hakuna mjadala

Stallin aliua watu mamilioni na mamilioni ili waanze safari upya kwenda kwenye maendeleo, hakuna nchi wamepata maendeleo the easy way, huko us red indians wameuliwa sana

Mwisho ya yote hapo china, mao mnyama alikua hajui kubembeleza, ni kupiga kazi mwanzo mwisho ukizubaa unakufa, ndo alileta nidhamu ya kazi china huko mpaka Leo

Huku vijana wapo busy na kubet, uchawa, ushoga na kulia Lia In the name of democracy

Magu alitakiwa akaze zaidi ya pale, na Kuna virusi angetakiwa aviondoe atleast Leo tungekua somewhere, watu walikua busy kuponda miradi yake Leo hii ndo wakwanza kuizindua, watu wa dar kueni na aibu, nilishatelekeza gari service road ya ubungo kuwahi mtihani chuo, foleni ilikua sio poa kipindi Iko

Amekosea ya kwake, ila let's call a spade a spade, the guy did a lot in his term!!!
Marais wote isipokuwa Nyerere ni majizi lakini Magufuli ni muuaji katili anayestahili kulaaniwa milele
 
Back
Top Bottom