Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Raisi Samia siyo Mtanganyika = A Fact
Raisi Samia kauza mali za Tanganyika = A Fact
Raisi Samia kauza mali za Tanganyika kwa Waarabu = Also a Fact
Facts nyingine hizi hapa.
1. Wazanzibar hawataki Muungano ili mnawalazimisha.
2. Kila rais anayetawala Zanzibar kuanzia karume baba mpaka dkt Hussein wa sasa ni machaguo ya bara c ya Wazanzibar.
3. Hata leo wabara mkisema Muungano basi, Wazanzibar wataingia njiani kusherehekea uhuru wao kamili.
4. Bara inaing"ang"ania Zanzibar bila ridhaa ya Wazanzibar.
KAMATA HIZO FACTS PIA ZITAKUSAIDIA.
NIKO PALEEE.
 
Facts nyingine hizi hapa.
1. Wazanzibar hawataki Muungano ili mnawalazimisha.
2. Kila rais anayetawala Zanzibar kuanzia karume baba mpaka dkt Hussein wa sasa ni machaguo ya bara c ya Wazanzibar.
3. Hata leo wabara mkisema Muungano basi, Wazanzibar wataingia njiani kusherehekea uhuru wao kamili.
4. Bara inaing"ang"ania Zanzibar bila ridhaa ya Wazanzibar.
KAMATA HIZO FACTS PIA ZITAKUSAIDIA.
NIKO PALEEE
Facts nyingine hizi hapa.
1. Wazanzibar hawataki Muungano ili mnawalazimisha.
2. Kila rais anayetawala Zanzibar kuanzia karume baba mpaka dkt Hussein wa sasa ni machaguo ya bara c ya Wazanzibar.
3. Hata leo wabara mkisema Muungano basi, Wazanzibar wataingia njiani kusherehekea uhuru wao kamili.
4. Bara inaing"ang"ania Zanzibar bila ridhaa ya Wazanzibar.
KAMATA HIZO FACTS PIA ZITAKUSAIDIA
 
Wewe ndio unatupangia wa wakumchagua hatumchagui mtu kwa kuangalia chuki zenu na visasi baada ya Magufuli kuwanyoosha vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi, walamba asali, majizi, wauza ngada mnaomba asirudi tena
Mkuu magu hakunyoosha nchi ila alikuwa anaipeleka kuzimu kama si Mungu kuingilia kati.
 
Magufuli alikuwa na madhaifu mengi, lakini wahenge husema "zimwi likujualo halikuli ukakwisha"

Natumai watanganyika wote tumeona kilichotokea leo bungeni. Niwapeni tu taarifa, kwambu huu ni mwanzo tu. Kuna mengi yanakuja ambayo hamtaamini kama yanatokea hapa Tanganyika. Mtakuja kuamka mmechelewa sana. Kama huu ndiyo utawala wa kisheria basi niwatakieni kila la kheri wakuu.

But I say this, Better the devil you know...
Haya mabunge yanayouza nchi ni limagufuli ndo iliyaingiza humo kwa mkono wa chuma
 
Kuzimu wapi!!?? Sasa hv umeshauzwa ww subiri waarabu wakushuhulikie
Waarabu ni watu swaafi kabisa ndo maana hata wazungu kwa sasa wanawapigia magoti kiuchumi. Kumkimbia mwarabu ni kupoteza muda na kujichelewesha kimaendeleo. Watu waovu ni wazungu ndo hushughulikia waafrika.
 
Hawakuwa na nguvu ya kuzuia masuala ambayo serikali ya ccm imetaka kuyapitisha, kunahitajika wabunge wengi zaidi wa upinzani.


Mbunge Kuzuia jambo ni kitu kingine na kuwakilisha mawazo yake ni jambo jingine, mfano Bila wabunge wa upinzani tungeweza kujua kashfa za Richmond, Tegeta Escrow, EPA nk??
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Wewe ni muongo. Mtu mzima ovyo
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Bado wajinga mnaendelea kudhihirisha ujinga wenu
 
Angalau zilikuwa na kiasi fulani cha haki ukilinganisha na "Uchafuzi" wa 2020.
Inaonyesha mliridhika na kuukubali huo "uangalau" ndio maana kelele zenu kubwa ni uchaguzi wa 2020 kuvuka huo uangalau mliyouzoea na si kelele kutaka uchaguzi wa haki.

Huo unagalau ni tatizo ambalo mlilizoea na 2020 ni matokeo ya ongezeko wa ukubwa wa tatizo la angalau.
 
Mbunge Kuzuia jambo ni kitu kingine na kuwakilisha mawazo yake ni jambo jingine, mfano Bila wabunge wa upinzani tungeweza kujua kashfa za Richmond, Tegeta Escrow, EPA nk??
Sidhani kama lengo letu kwa hao wabunge kama wawakilishi wetu huko bungeni ni kuibua kashfa tu halafu basi, walichokifanya wabunge wa ccm nacho ni kuwakilisha mawazo yao ambapo kwa pamoja wakaona wapitishe.
 
Inaonyesha mliridhika na kuukubali huo "uangalau" ndio maana kelele zenu kubwa ni uchaguzi wa 2020 kuvuka huo uangalau mliyouzoea na si kelele kutaka uchaguzi wa haki.

Huo unagalau ni tatizo ambalo mlilizoea na 2020 ni matokeo ya ongezeko wa ukubwa wa tatizo la angalau.


Wazungu husema; Better have something than nothing na Waswahili husema; Bora kenda kuliko kumi nenda rudi isitoshe Simba akizidiwa njaa hula nyasi. Nimeandika misemo yote hiyo ili utapate kujifunza nini maana ya "angalau" kwani wakati fulani mtu inakubidi u-compromise ili mambo yaende.

Tatizo la hizo angalau na uchafuzi wa 2020 ni katiba mbovu na ndio maana tunapigania tupate katiba mpya iliyokuwa bora ili kuondoa hizo shida nk.
 
Sidhani kama lengo letu kwa hao wabunge kama wawakilishi wetu huko bungeni ni kuibua kashfa tu halafu basi, walichokifanya wabunge wa ccm nacho ni kuwakilisha mawazo yao ambapo kwa pamoja wakaona wapitishe.


To be precise, Siyo kuwakilisha mawazo yao bali kuwakilisha Mawazo ya Chama chao cha CCM.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Tumejifunza mengi na tumefaidika sana kwakuweza kuyajua maamuzi yapi hayafai kwa taifa lakini CCM ni ilele mimi nilijifunza kwamba CCM ni chama kilicho na watu ambao wanauwezo mzuri wa kujitoa ufahumu ,(herding behavior), herding behavior is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objective or fear in this case is fearing their leaders
 
Kama Uchaguzi mkuu uliopita ungalikuwa ni wa haki leo CCM isingalikuwepo madarakani kabisa, kinachiendelea leo nchini mwetu ni laana ya uchaguzi haramu iliyofanywa na Magufuli, Yeye Mwenyewe na Makamu wake na Wabunge wote walipita katika njia za haramu na HARAMU siku zote HUZAA HARAMU na ndio maana leo tunashuhudia nchi yetu ikipigwa mnada mbele ya macho yetu.
Kulishawahi kuwa na uchaguzi ulio haki??!
 
Back
Top Bottom