pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Wengi tu wana nguvuSasa mbona inajulikana wazee wengi ni wagonjwa.
Public transport ni usumbufu, kupoteza muda, kukosa ustaarabu n.kPublic transport ni bora zaidi ili kupunguza uchafuzi wa hewa,kila mtu akimiliki chombo cha usafiri basi hii Dunia itakua sio sehemu salama tena.
Hafu kusimama dk 45 hakumtoi mtu roho ni sehemu ya mazoezi pia haswa kwa umri wao Endeleeni kukaza mpka wakome...Me wazee HUWA siwapishi kabisaaaa naaminigi kua maishani mwao wamepitia mengi na magumu kwahiyo HILI la kusimama kwenye gari ni chamtoto tu[emoji4][emoji4][emoji4]
Mimi uwa wajawazito nawapisha na wazee na wagonjwa iwapo amepanda katikati ya safari, ila kama kapanda kituoni na anaona gari limejaa, hapana aisee.Halafu unakuta magari kibao hakuna shida ya usafiri wanapanda tu,pia wajawazito. Nitakae mpisha ni mgonjwa tu.
Muda unavyozidi kwenda binadamu anatumia akili kuliko nguvu, hata msukuma wa miaka 1800 hafanani na msukuma wa sasa.Kifupi vijana wengi wa sasa hivi legelege kama mlenda sio vikakamavu ndio maana vinapenda kukaa tu kwenye kiti kama vibwege haviwezi Simama hata saa moja kwenye basi vitaanza kulia mma
hasa vya Dar es salaam hivi vivaa milegesheo, vya kike Walau vinajitahidi kupisha
No wonder mnatombewaMuda unavyozidi kwenda binadamu anatumia akili kuliko nguvu, hata msukuma wa miaka 1800 hafanani na msukuma wa sasa.
Ndio maana automation inachukua nafasi kwenye mambo mengi.
Hao babu na bibi zako unaowatania unawajua? Huenda hata kijijini kwenu haukujui na hawakujui, wewe hauwatanii bali unawasimanga.Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu
Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala
Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu,bodaboda used mpaka laki sita,hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke
Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi
We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee,nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu
Madhara ya kuzaa watoto mijini hawajui Mila zao hawa ndio unakuta Kaka anamla dadake au baba linakula bintiye mama analiwa na mwanae.Hao babu na bibi zako unaowatania unawajua? Huenda hata kijijini kwenu haukujui na hawakujui, wewe hauwatanii bali unawasimanga.
Kama uko ulaya sawa ila bongo ukiacha mwendokasi the rest ni kero sana majasho,konda kukutukana ,kukanyagana,kuegemeana,kubahashiana,kukaa kwa foleni muda mrefu.hapo ndio umetoka mishen town zako zimebumaPublic transport ni bora zaidi ili kupunguza uchafuzi wa hewa,kila mtu akimiliki chombo cha usafiri basi hii Dunia itakua sio sehemu salama tena.
Soma yote bwana mdogo haya ndio madhara ya wasted sperms. Kwanza kwa nini nisiwaze kudinya mie rijali we vipi?Inaonyesha akili yako inawaza kudinyana tu
Hawaridhiki yani hakuna formula ya kumridhisha mwanamke ukajisifu kabisa.No wonder mnatombewa
Kwamba wazee wanatakiwa watupe lift kwenye magari yao sio!Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu
Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala
Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu,bodaboda used mpaka laki sita,hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke
Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi
We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee,nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu
Umeoa? Kama umeoa utaelewa nachokisema na Kama haujaoa ukishaoa utarudi kwenye hii thread hata miaka kumi ijayo tuombe uzima tu.Hawaridhiki yani hakuna formula ya kumridhisha mwanamke ukajisifu kabisa.
Ukiwa baunsa mzee wa kazi atataka waramba midomo kama akina Jux, ukiwa mrama midomo atataka kauzu kama fid q, ukiwa tajiri, utasikia anapita na bodaboda anadai hujali huna muda kwa ajili yake uko bsy na kazi na biashara, ukiwa maskini atachepuka kutafuta wa kumtimizia mahitaji yake.
So unachosema ni inversely proportional na kilichopo hapa.
Sikuwahi kupishwa nilivyokuwa na tumbo langu so wembe ni ule uleMuda unavyozidi kwenda binadamu anatumia akili kuliko nguvu, hata msukuma wa miaka 1800 hafanani na msukuma wa sasa.
Ndio maana automation inachukua nafasi kwenye mambo mengi.