Nasema tusiwapishe viti wazee kwenye daladala, walichezea ujana

Kifupi vijana wengi wa sasa hivi legelege kama mlenda sio vikakamavu ndio maana vinapenda kukaa tu kwenye viti kama vibwege haviwezi Simama hata saa moja kwenye basi vitaanza kulia mma

hasa vya Dar es salaam vya kiume hivi vivaa milegesheo, vya kike Walau vinajitahidi kupisha
 
Muda unavyozidi kwenda binadamu anatumia akili kuliko nguvu, hata msukuma wa miaka 1800 hafanani na msukuma wa sasa.

Ndio maana automation inachukua nafasi kwenye mambo mengi.
 
Hao babu na bibi zako unaowatania unawajua? Huenda hata kijijini kwenu haukujui na hawakujui, wewe hauwatanii bali unawasimanga.
 
Hao babu na bibi zako unaowatania unawajua? Huenda hata kijijini kwenu haukujui na hawakujui, wewe hauwatanii bali unawasimanga.
Madhara ya kuzaa watoto mijini hawajui Mila zao hawa ndio unakuta Kaka anamla dadake au baba linakula bintiye mama analiwa na mwanae.

Kizazi cha nyoka wanasahau uzee utajikuta tu. Tunaishi na wazee wetu they were once handsomest and beautiful creatures lakini uzee ni uzee tu.

Maisha ni safari, unaweza kuchuma ujanani na ukaishi vizuri Ila ikakutokea ajali ya maisha,

Wazee walisema, usitukane ukunga ingali uzazi ungalipo. Kuna siku aliyeandika hii thread atajikuta anajilaumu sana maana maisha ni safari ndefu.

Nina umri mchache Ila nimeona watu walikuwa matajiri na wakadhulumiwa, wakafilisiwa na wake zao, wakanyang'anywa Mali na serikali, wakaumwa mpaka biashara zikafa, wakakabidhi ndugu wakaziua zote, Yani mifano ipo hapahapa duniani.

So ukiwa na bahati ya kupata uzee wenye ahueni kimaisha shukuru Mungu na usikufuru wasionacho maana hawakupendan

Hakuna kitu kibaya kama uwe mzee na huna pesa maana ndio umri ambao magonjwa ni mengi, upweke, vijana ndio hawa wanapoona mzee wanahisi age tu hana maana ya kuishi.

Tusijitafutie laana tukaishi kwa tabu duniani.
 
Public transport ni bora zaidi ili kupunguza uchafuzi wa hewa,kila mtu akimiliki chombo cha usafiri basi hii Dunia itakua sio sehemu salama tena.
Kama uko ulaya sawa ila bongo ukiacha mwendokasi the rest ni kero sana majasho,konda kukutukana ,kukanyagana,kuegemeana,kubahashiana,kukaa kwa foleni muda mrefu.hapo ndio umetoka mishen town zako zimebuma
 
Madhara ya kuzaa watoto mijini hawajui Mila zao hawa ndio unakuta Kaka anamla dadake au baba linakula bintiye mama analiwa na mwanae.

Kizazi cha nyoka.
Inaonyesha akili yako inawaza kudinyana tu
 
No wonder mnatombewa
Hawaridhiki yani hakuna formula ya kumridhisha mwanamke ukajisifu kabisa.

Ukiwa baunsa mzee wa kazi atataka waramba midomo kama akina Jux, ukiwa mrama midomo atataka kauzu kama fid q, ukiwa tajiri, utasikia anapita na bodaboda anadai hujali huna muda kwa ajili yake uko bsy na kazi na biashara, ukiwa maskini atachepuka kutafuta wa kumtimizia mahitaji yake.

So unachosema ni inversely proportional na kilichopo hapa.
 
Kwamba wazee wanatakiwa watupe lift kwenye magari yao sio!
 
Umeoa? Kama umeoa utaelewa nachokisema na Kama haujaoa ukishaoa utarudi kwenye hii thread hata miaka kumi ijayo tuombe uzima tu.

Mwanamke asiyeridhika jiulize wewe una shida gani? Unless unaongelea kuhusu pesa kwamba hauna pesa na demu ni mpenda shortcut za pesa ndio analazimika kutoa kwa watu wengi.

Ila Kama ni kuridhika kimapenzi basi niangalie acha kula chips mdogo wangu piga vyakula na ule kweli sio unashindia smoothie Kama mademu.

Nenda kale na ukiwa ndani acha papara. Be the man she is yours and she must know that Kuna mwanaume lakini ukishindia matango na papai utafirahishwa tu.

Mengine ni majaliwa ya mola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…