Nashangaa sana kuona dada wa miaka 25 anaolewa. Unawahi wapi? Ndiyo maana ndoa zinawashinda!

Nashangaa sana kuona dada wa miaka 25 anaolewa. Unawahi wapi? Ndiyo maana ndoa zinawashinda!

Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Utoto taabu kwelikweli.
 
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Wakifika 30yrs asilimia 70 ya mayai bora yanakufa. Anabaki na 30pasee. Halafu wataka afike 35
 
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Ukifika 35 hawatakutafuta ila wewe ndo utawatafuta.
Waoaji hawapendi kuoa mitumba iliyovaliwa Ulaya kisha ikavaliwa tena Afrika.
 
Angekuwa mwanaume sawa mwanamke kila umri ukienda soko lake linashuka utakuja kujuta siku moja kwa kukataa husband material na kukaa mda mrefu kuna umri mwanamke akifika wanaume tunaona kashaolewa hatuna mda nae tunatafuta dogodogo mwisho utakuja na thread ya kutafuta mume yoyote awe anapumua tu.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Malizia mambo yako kuna muda utafika utasema nahitaji mwanaume yeyote wa kuishi naye.....yaan utakuwa unalala na kuamkia kwa mwamposa
 
Miaka 35 kwa mwanamke kuolewa na mwanaume fresh from ujana kwa hapa bongo huo ni uongo tena ni uongo bwana. Nani aowe mtu amechoka mpaka kizazi labda awe kina mboni, sjui kina dida wa kuolewa mke wa 32117193733 hukooo
 
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Uendelee kutumika kwanza. By the time unataka kuolewa hujambakizia mmeo utamu hata kidogo. Waingize tu wasichana wenzio mkenge. Ila sisi tukitaka kuoa haijalishi tuna umri gani, nyie wazee wenzetu tunawaacha tunaenda kutafuta 24-26 ndo tunaoa
 
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Endelea kujiandalia mazingira ya U single Mother.
 
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.

Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.

Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".

Sasa mkuu mbona hatukuelewi! Wewe ni jinsia gani?
 
Back
Top Bottom