Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Waliopo humu wengi ndio hivo tena.... An %Humu wapo wakongwe wanaojitambua, ni wachache wasiojitambua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliopo humu wengi ndio hivo tena.... An %Humu wapo wakongwe wanaojitambua, ni wachache wasiojitambua
Kwa kweli 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌#include<stdio.h>
Int main()
{
Int single maza;
Single maza = 0;
Repeat;
Printf("single maza mtazidi kuongezeka\n");
Single maza++;
If(single maza <= 32,000,000)
Go to repeat;
Return 0;
}
Output; 32,000,001
Asante kwa kuongeza idadi ya watakaokuwa single maza miaka ijayo 😹😹😹😹😹
Above 35 unapewa na nyongezaLifespan ya ndoa kwa mwanamke.
Miaka 18-24. Mbwa mkali wazazi wanaweka hili tangazo.
Miaka 26-35 Wazazi wanaweka tangazo tunauza barafu,
Miaka ikizidi hapo ni extra time tegemea goli la bahati.
Soko la bidhaa yako huisha ukishafikisha 30yrs , itafikia hatua utataka olewa hata na chama tawalaKwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Yaaah na huu ndo ukweli wenyewe...Huo umri ni wa kustaafu kwa manamke.
Mwanamke inatakiwa akifika 20 aolewe akifika 25 kashafunga hadi kizazi kwa watoto wa 3.
Wamama wa kizamani waliolewa wakiwa na 14 au 15.
we kweli zuzu hakuna unalojua. Si lazima utuandikie upupu km huu unaweza kubaki kusoma threads za wenzio.Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
upupu huu ataelewa niniUsihangaike kunielewa mm. Hangaika kuielewa mada iliyopo jukwaani
[emoji383]Umejitahid mkuu
[emoji3060][emoji322]Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mwanamke wa miaka 30 ana nini boss kuna waremboUkifikisha 30 utajua hujui
[emoji38][emoji38][emoji38] kuoa miaka 35 mzee,vp 30 na 31 anafaaUnapata raha gani kuoa Mzee aliyetumiwa???
Sema kweliWakifika 30yrs asilimia 70 ya mayai bora yanakufa. Anabaki na 30pasee. Halafu wataka afike 35
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
[emoji23][emoji23]35 mbona unawahi sana ngoja 55 ili wakati unastaafu ubebe mimba