Utoto taabu kwelikweli.Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Wakifika 30yrs asilimia 70 ya mayai bora yanakufa. Anabaki na 30pasee. Halafu wataka afike 35Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
heeee bro Leo umekua demu?
Ukifika 35 hawatakutafuta ila wewe ndo utawatafuta.Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Malizia mambo yako kuna muda utafika utasema nahitaji mwanaume yeyote wa kuishi naye.....yaan utakuwa unalala na kuamkia kwa mwamposaKwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Yaani ngoja jua lizame hakuna rangi ataacha kuona ataoa vitoto vidogo vinamdhalilisha vinamuacha apoUkifika 35 hawatakutafuta ila wewe ndo utawatafuta.
Waoaji hawapendi kuoa mitumba iliyovaliwa Ulaya kisha ikavaliwa tena Afrika.
Umenena vyema.kuolewa sio umri ni pale utakapopata mtu unaemuona ni sahihi kwa maisha yako
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]hauna jipya kwanza hueleweki mwanamke au mwanaume.
Mkuu umeon ulichojibiwMwaume utaolewaje ?
Uendelee kutumika kwanza. By the time unataka kuolewa hujambakizia mmeo utamu hata kidogo. Waingize tu wasichana wenzio mkenge. Ila sisi tukitaka kuoa haijalishi tuna umri gani, nyie wazee wenzetu tunawaacha tunaenda kutafuta 24-26 ndo tunaoaKwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Huyo ni James delicious ndo maana hajielewiMkuu umeon ulichojibiw
Endelea kujiandalia mazingira ya U single Mother.Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa.
Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa.
Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".