Nashangaa sana kuona dada wa miaka 25 anaolewa. Unawahi wapi? Ndiyo maana ndoa zinawashinda!

Kwa kweli 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Soko la bidhaa yako huisha ukishafikisha 30yrs , itafikia hatua utataka olewa hata na chama tawala
 
Acha UJINGA wewe sexless muache aolewe au ulitaka mwenzio awe single mama kazalishwa tu halafu watoto anawalea wenyewe
 
we kweli zuzu hakuna unalojua. Si lazima utuandikie upupu km huu unaweza kubaki kusoma threads za wenzio.
 

kula ujana mpapa tundu liwe kama gurudumu la trekta ndio uolewe, safi kabisa. (Huyo atakae oa hii makapi ni mjinga, mjinga x 10,000)
 


Sexless na unadhani kuna mwanaume pumbavu wa kusign that deal, huku kuna magari mapya mengiii. Na hata kama yupo utafurahi kuolewa na mwanaume mpumbavu kiasi hicho
 
Hawa jamaa wenye kampeni ya "KATAA NDOA, NDOA NI WIZI, NDO NI UTAPELI, KATAA NDOA" Sometime wanakuwa sawa,,kwa akili za huyu........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…