Nashauri coach Gamondi atupishe

Nashauri coach Gamondi atupishe

Jana nilimuona Kibwana anatabasamu walai tena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
mapema mno kumuona hafai,apewe mda nadhani nayeye kaona shida ilipo tunaamini atakuja vizur
Wakati anapewa muda, sisi hatuangalii sura ni kupeleka moto tu. peaneni muda mtajua wenyewe...
 
Mimi kama shabiki na mwanachama wa Yanga nguli kabisa,
Napendekeza Gamondi apishe fasta
Gamondi ulikuwa moto wa mabua Sasa makocha wa bongo wamestukia mbinu zake, itakuwA ngumu kushinda

1. Gamondi ni kocha wa mbinu Moja.
Kila siku anakuja na hiyo mbinu ya kupitisha penetration pass,
Ukimbana hapo hafurukuti.
Hataki kutumia winga, amewakataa mawinga wote wote akina Morrison na Jesus Morocco.

2. Anaua vipaji vya wachezaji
Haifanyi rotation
Kibwana beki kiraka anacheza kulia na kushoto
Leo Gamondi hamhitaji
Nkane ni winga,
Wapi akina Farid Musa

Hawezi management ya wachezaji
Kuna wachezaji wanajikuta mastaa hata wasiokuwa kwenye mazoezi laZima mechi wacheze
Lilikuwa jambo baya Diarra kuchelewa national team na kucheza mechi ya derby siku aliyowasili, japo tulishinda
Hii inawashusha morali makipa wengine
Aziz ki amekuwa mlevi na mtu wa kupenda mishangaza ya huko dar es salaam

5. Kocha wa viungo anawapa wachezaji mazoezi Gani?
Wanaumia mno
Mfano Yao. Amekuwa na miguu ya vioo

Nashauri Eng Hersi alete coach mpya haraka sana, laah sivyo tutapigwa na kupigika na vitimu vidogo

Eng Hersi dirisha dogo muondoshe haraka Musonda, huyu mchezaji ameshindwa kubadilika kabisa
Malalamiko mengi bila hoja ya msingi. Kuchukua ubingwa mara 4 mfululizo sio kazi nyepesi. Huu msimu kwa vyovyote vile ungekuwa mgumu hata aje kocha gani Wachezaji wamerelax sana, sababu wengi wana makombe sita kibindoni.
 
Maisha yanaenda kasi sana. Juzi tu watu walikuwa wameshajitangazia ubingwa, ghafla leo wanataka kufukuza kocha na wachezaji wooote
 
Malalamiko mengi bila hoja ya msingi. Kuchukua ubingwa mara 4 mfululizo sio kazi nyepesi. Huu msimu kwa vyovyote vile ungekuwa mgumu hata aje kocha gani Wachezaji wamerelax sana, sababu wengi wana makombe sita kibindoni.
Mbona Simba alichukua?
 
Kwanini mnaingia gharama kuajiri makocha iwapo kuna mashabiki mnajua hivi?
Nilitaka kusema kila shabiki WA Yanga ni kocha. Kweli kuna kazi. Hii ndio timu ilikuwa inataka kucheza na Malaika?.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mlaumuni kwa mechi na Azam lakini hii ya Tabora United wachezaji muhimu wengi walikuwa injury hakuwa na namna
 
Mimi kama shabiki na mwanachama wa Yanga nguli kabisa,
Napendekeza Gamondi apishe fasta
Gamondi ulikuwa moto wa mabua Sasa makocha wa bongo wamestukia mbinu zake, itakuwA ngumu kushinda

1. Gamondi ni kocha wa mbinu Moja.
Kila siku anakuja na hiyo mbinu ya kupitisha penetration pass,
Ukimbana hapo hafurukuti.
Hataki kutumia winga, amewakataa mawinga wote wote akina Morrison na Jesus Morocco.

2. Anaua vipaji vya wachezaji
Haifanyi rotation
Kibwana beki kiraka anacheza kulia na kushoto
Leo Gamondi hamhitaji
Nkane ni winga,
Wapi akina Farid Musa

Hawezi management ya wachezaji
Kuna wachezaji wanajikuta mastaa hata wasiokuwa kwenye mazoezi laZima mechi wacheze
Lilikuwa jambo baya Diarra kuchelewa national team na kucheza mechi ya derby siku aliyowasili, japo tulishinda
Hii inawashusha morali makipa wengine
Aziz ki amekuwa mlevi na mtu wa kupenda mishangaza ya huko dar es salaam

5. Kocha wa viungo anawapa wachezaji mazoezi Gani?
Wanaumia mno
Mfano Yao. Amekuwa na miguu ya vioo

Nashauri Eng Hersi alete coach mpya haraka sana, laah sivyo tutapigwa na kupigika na vitimu vidogo

Eng Hersi dirisha dogo muondoshe haraka Musonda, huyu mchezaji ameshindwa kubadilika kabisa
Kama unawalipa wewe vile
 
Mimi kama shabiki na mwanachama wa Yanga nguli kabisa,
Napendekeza Gamondi apishe fasta
Gamondi ulikuwa moto wa mabua Sasa makocha wa bongo wamestukia mbinu zake, itakuwA ngumu kushinda

1. Gamondi ni kocha wa mbinu Moja.
Kila siku anakuja na hiyo mbinu ya kupitisha penetration pass,
Ukimbana hapo hafurukuti.
Hataki kutumia winga, amewakataa mawinga wote wote akina Morrison na Jesus Morocco.

2. Anaua vipaji vya wachezaji
Haifanyi rotation
Kibwana beki kiraka anacheza kulia na kushoto
Leo Gamondi hamhitaji
Nkane ni winga,
Wapi akina Farid Musa

Hawezi management ya wachezaji
Kuna wachezaji wanajikuta mastaa hata wasiokuwa kwenye mazoezi laZima mechi wacheze
Lilikuwa jambo baya Diarra kuchelewa national team na kucheza mechi ya derby siku aliyowasili, japo tulishinda
Hii inawashusha morali makipa wengine
Aziz ki amekuwa mlevi na mtu wa kupenda mishangaza ya huko dar es salaam

5. Kocha wa viungo anawapa wachezaji mazoezi Gani?
Wanaumia mno
Mfano Yao. Amekuwa na miguu ya vioo

Nashauri Eng Hersi alete coach mpya haraka sana, laah sivyo tutapigwa na kupigika na vitimu vidogo

Eng Hersi dirisha dogo muondoshe haraka Musonda, huyu mchezaji ameshindwa kubadilika kabisa
Ila msonda duuu
 
Back
Top Bottom