Nashauri Pascal Mayalla ateuliwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara

Nashauri Pascal Mayalla ateuliwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara

Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Huyo ateuliwe kua msemaji wa maonesho ya nanenane
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Pascal Mayala amewinda uteuzi huu ni mwaka wa sita kama sio wa saba.Anahangaika hadi anatia huruma sijui ni kwa nini asiwaambie ccm kuwa wasimbabaishe ana nguvu za kulima kama Paulo Sozigwa alivyowahi kuwatamkia wajumbe waliokataa kumpitisha kwa kuwa hakutoa pesa.

Asichoelewa Pascal ni kwamba Swali alilowahi kumuuliza magufuli kuwa kwa nini mhimili wa serikali umechukua madaraka ya mihimili mingine ndicho kinafanya asiaminike na wahafidhina wa ccm.Aende vyama vingine atafune noti za wafadhili kama wenzake,Hawaoni wanapepea nchi nzima full equiped? Unadhani hizo ni pesa za kadi za vyama?
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Aliwahi kuongoza nini kwa Mafanikio hadi muanze kumpigia debe ?

Kama unampenda Mtu kutokana na Sura yake nenda kanywe naye Chai - JK NYERERE
 
Watanzania watu wa ajabu sana, mtu anaposema ukweli lazima aanze kuandamwa na maneno ya kejeli na uchochezi, hii aibu itatutesa sana na kutuandama, wakati wenzetu wa afrika mashariki wanapiga hatua kimaendeleo leo hii sisi bado tupo tunakaa chini na kumwandama mtu kisa kwa hoja zake ambazo hata kuzijibu hatuwezi, Hakika Mheshimiwa Lowasa alikuwa sahihi kusema elimu elimu elimu
Kama Mayalla ni msema ukweli basi ukweli ni wowote ule duniani.
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Anastahili sana tu ! 🙏🙏
 
Watanzania watu wa ajabu sana, mtu anaposema ukweli lazima aanze kuandamwa na maneno ya kejeli na uchochezi, hii aibu itatutesa sana na kutuandama, wakati wenzetu wa afrika mashariki wanapiga hatua kimaendeleo leo hii sisi bado tupo tunakaa chini na kumwandama mtu kisa kwa hoja zake ambazo hata kuzijibu hatuwezi, Hakika Mheshimiwa Lowasa alikuwa sahihi kusema elimu elimu elimu
Umenena. !!
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Naunga mkono hoja ✔️!! Jamaa amepambana san humu kwaajil ya chama. Wamuangalie kwa jicho la huruma!!
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Mimi napendekeza Lucas mwashambwa
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Sawa kabisa. Na DED ateuliwe Lucas Mbwa wa Shamba.

Hawa wawili ni chawa bora kabisa kuwahi kutokea duniani
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
HII NAIUNGA MKONO 100%, HUYU JAMAA ANAFAA NA ANA KITU ILA HAJAPEWA NAFASI TU.
ANA HULKA ZA KIJANA WETU ANTHONI MTAKA
 
Naunga mkono hoja.
Apewe Ukuu wa Wilaya ya Mtwara ambayo iko wazi.

Hakika anapambana sana na nina uhakika ataiweza.
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Huyu Ni msaliti, kasaliti hata waraka wa kanisa lake. Yeye anafikir kwann ulisomwa altareni. Unafikiri Ni Jambo dogo.

Kaisaliti nchi na kasheria kake ka kuunga unga.
 
Watanzania watu wa ajabu sana, mtu anaposema ukweli lazima aanze kuandamwa na maneno ya kejeli na uchochezi, hii aibu itatutesa sana na kutuandama, wakati wenzetu wa afrika mashariki wanapiga hatua kimaendeleo leo hii sisi bado tupo tunakaa chini na kumwandama mtu kisa kwa hoja zake ambazo hata kuzijibu hatuwezi, Hakika Mheshimiwa Lowasa alikuwa sahihi kusema elimu elimu elimu
Kwa hiyo watetezi wa bandari kuuzwa wapewe bonus!

Unachoona wewe Ni ukweli kwa mwingine Ni tofauti. Badili namna yako ya kuwaza.
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Mwana za masiku 😂 😂

Naona mnapiga mishe mande, hongera sana and all the best. 😂
 
P
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
P jitokeze huku ikiwezekana beba na namba yako ya simu, vinginevyo tunshtue Lucas🤔
 
Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.

Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.

Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.

Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Wampe u DED apige pesa tujue moja.
 
Back
Top Bottom