Lugoda lwa chuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 202
- 379
Huyo ateuliwe kua msemaji wa maonesho ya nanenaneNdugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.