Lugoda lwa chuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 202
- 379
Huyo ateuliwe kua msemaji wa maonesho ya nanenaneNdugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
ShangaaPaschal ana ukweli?
Pascal Mayala amewinda uteuzi huu ni mwaka wa sita kama sio wa saba.Anahangaika hadi anatia huruma sijui ni kwa nini asiwaambie ccm kuwa wasimbabaishe ana nguvu za kulima kama Paulo Sozigwa alivyowahi kuwatamkia wajumbe waliokataa kumpitisha kwa kuwa hakutoa pesa.Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Aliwahi kuongoza nini kwa Mafanikio hadi muanze kumpigia debe ?Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Kama Mayalla ni msema ukweli basi ukweli ni wowote ule duniani.Watanzania watu wa ajabu sana, mtu anaposema ukweli lazima aanze kuandamwa na maneno ya kejeli na uchochezi, hii aibu itatutesa sana na kutuandama, wakati wenzetu wa afrika mashariki wanapiga hatua kimaendeleo leo hii sisi bado tupo tunakaa chini na kumwandama mtu kisa kwa hoja zake ambazo hata kuzijibu hatuwezi, Hakika Mheshimiwa Lowasa alikuwa sahihi kusema elimu elimu elimu
Anastahili sana tu ! 🙏🙏Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Umenena. !!Watanzania watu wa ajabu sana, mtu anaposema ukweli lazima aanze kuandamwa na maneno ya kejeli na uchochezi, hii aibu itatutesa sana na kutuandama, wakati wenzetu wa afrika mashariki wanapiga hatua kimaendeleo leo hii sisi bado tupo tunakaa chini na kumwandama mtu kisa kwa hoja zake ambazo hata kuzijibu hatuwezi, Hakika Mheshimiwa Lowasa alikuwa sahihi kusema elimu elimu elimu
Naunga mkono hoja ✔️!! Jamaa amepambana san humu kwaajil ya chama. Wamuangalie kwa jicho la huruma!!Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Mimi napendekeza Lucas mwashambwaNdugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Sawa kabisa. Na DED ateuliwe Lucas Mbwa wa Shamba.Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
HII NAIUNGA MKONO 100%, HUYU JAMAA ANAFAA NA ANA KITU ILA HAJAPEWA NAFASI TU.Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Huyu Ni msaliti, kasaliti hata waraka wa kanisa lake. Yeye anafikir kwann ulisomwa altareni. Unafikiri Ni Jambo dogo.Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Kwa hiyo watetezi wa bandari kuuzwa wapewe bonus!Watanzania watu wa ajabu sana, mtu anaposema ukweli lazima aanze kuandamwa na maneno ya kejeli na uchochezi, hii aibu itatutesa sana na kutuandama, wakati wenzetu wa afrika mashariki wanapiga hatua kimaendeleo leo hii sisi bado tupo tunakaa chini na kumwandama mtu kisa kwa hoja zake ambazo hata kuzijibu hatuwezi, Hakika Mheshimiwa Lowasa alikuwa sahihi kusema elimu elimu elimu
Mwana za masiku 😂 😂Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
P jitokeze huku ikiwezekana beba na namba yako ya simu, vinginevyo tunshtue Lucas🤔Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.
Imebaki kusaliti familia yake.Huyu jamaa wamuonee huruma kwakweli, kasaliti hadi maaskofu wake ila waaaaapi.
Labda mkeka ujao mambo yatatiki
Wampe u DED apige pesa tujue moja.Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote.
Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi.
Napaza sauti yangu kwa nguvu kumuombea ndugu yetu huyu apate ukuu wa wilaya.
Mkuu wa wilaya ya mtwara katumbuliwa juzi. Nafasi ipo wazi.