Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Nimesoma mpaka hizo quantum physics...,
Huna jibu, sijawahi kumsikia mwanasayansi mkubwa kutoka Kenya, zaidi ya wakimbiaji
ambao nina uhakika hawajawahi kutumia hizo calculas kwenye mbio zao kama pengine walizisoma
Mkuu mimi napingana na Sunak pia ila nakubaliana na weweHiyo picha uliyoweka inapingana na hoja yako
Unaongea in general sana hesabu gani unayoongelea!?
Hesabu ya mhim ni kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya kwa mtu ambaye hana mpango wa kwenda
kwenye matechnical, technology na science education.
Mtu umesoma public speaking, tourism, communication skills, journalist, mwanamichezo au artist Calculas itamsaidia nini kwenye real life!?
Messi, Ronaldo, Tigger wood, Maywether, Chris Brown, Celine Dion, Selina Gomez hizo hesabu zinawasaidia nini!?
kwa kuwa kasema wazir mkuu wa uingereza haifanyi kuwa yuko sahihi
Physics, Chemistry, Biology, Mathematics the best subjects ever! Dunia iko hivi ilivyo because of those subjects. Taifa lolote linalojitambua litaweka mkazo kwenye hayo masomo unless we want to be followers forever!Ninakuelewa sana hoja yako. Kuna kila sababu ya kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo. Masomo hayo yaani Physics na Hesabu ni masomo muhimu. Siri na ufahamu wa ulimwengu umejificha kwenye masomo hayo.
Tutakuwa taifa la watu wajinga sana kama tutapuuzia masomo hayo. Ulimwengu unatawaliwa na Physics kuanzia enzi za Classical Physics ya akina Isaac Newton na wenzake hadi kwenye Quantum Physics ya akina Albert Einstein.
Moyo wangu unauma sana ninapoona watoto wanashindwa kusoma physics.
Sija offer chochoteSo what have you offered to world generally?
So you're bragging for nothing.You mean you have even never offered a free physics lesson in a nearby school?Sija offer chochote
Nimeeleza vizuri basic mathematics inatosha kabisa kwa mtu ambaye hana mpango wa kuendelea na technical, technoloy au science educationMkuu mimi napingana na Sunak pia ila nakubaliana na wewe
Hesabu ni muhimu kwa kila mtu hata hao uliowanadi inawasaidia kujua wana ngapi zimeingia na ngapi wametumia, sio lazima wazijue hesabu za kufanyia kazi
Sijajichanganya mkuu na nimeelewa vizuri
Hayo hayakuhusu mkuu tujadili mada iliyo mezani.So you're bragging for nothing.You mean you have even never offered a free physics lesson in a nearby school?
Mawazo yako yapo ofisi za makatibuu wakuu lkn yanafanywa kuwa SIRIWaalimu tangu shule ya msingi, wawe wa viwango vya juu. Kwanza wenyewe wawe waliofaulu masomo yao.
Mishahara ya waalimu iboreshwe ili kuwavutia wanaofaulu sekondari kujiunga na ualimu.
Vyuo vya ualimu viboreshwe dhana za ufundishaji, na wawe na wakufunzi walioiva, ili wanafunzi watoke hapo na ujuzi wa walichosomea na uwezo wa kuwaelimisha wanaoenda kuwafundisha.
Mashule yawezeshwe kwa zana, vitabu na maabara ili ufundishaji uwe kamili na rahisi kueleweka. Mazingira ya shule na makazi yawe rafiki kwa wanafunzi na waalimu wao.
Huu ni uwekezaji, kama mwingine wowote, serikali iwe na nia ya dhati kama inavyoendekeza siasa na wanasiasa, inatakiwa sasa iigeukie sekta ya elimu!
Indeed you're the one suffering from that inferiority complex.Nifundishe kiswahili Cha huko kwenu tafadhali.Hayo hayakuhusu mkuu tujadili mada iliyo mezani.
Hicho kiingereza kingi wakati unajua kiswahili kwangu naona ni inferiority complex
Hayo unayo tamani yawe option ndio masomo yanayotawàla dunia,ila kwa kuwa mvivu,kwako yawe option ila kwa maslahi ya taifa yawe lazima hata itolewe ruzuku kuyaenzi na kuyaendeleza,🤔Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Wa Kenya mnamatatizo sana ndio maana mmezidiwa na ukabilaIndeed you're the one suffering from that inferiority complex.Nifundishe kiswahili Cha huko kwenu tafadhali.
Nani kakudanganya Tz Hakuna ukabila? Don't be silly.Wa Kenya mnamatatizo sana ndio maana mmezidiwa na ukabila
Hatuwezi kuwa taifa zima la coding, itafikia wakati coders watakuwa obsoleteMada nzuri mno ila kama kawaida yetu inapewa majibu rahisi,tatizo lipo kwenye foundation ya elimu yetu !mtoto akifika darasa la kwanza aanze kujifunza programing n coding, hii itamfanya mtoto ajenge uwezo wa kufikiri na sio kukariri,waalimu bora watafutwe na kuandaliwa vema na bila shaka tutarudia kule tuliko potea, hivi record ya Professor Sarungi pale Tosa ilivunjwa?elewa hadi leo UK inachukua waalimu na Nurse's from Zimbabwe, unafikiri why?Rwanda pia kaenda Zimbabwe mbona hakuja kwetu kutafuta waalimu bora!
Yaaah, kitambo sana Sir.Oooh mimi tena na thread mbona sijaandika kitambo sana
Means?,maadam mtoto wako anajua coding, watoto wa kindendeule huku lingusenguse wasijue coding, upumbavu huuHatuwezi kuwa taifa zima la coding, itafikia wakati coders watakuwa obsolete
Mkuu hayo unayoyasema yamefanyika kwa zaidi ya 65 yrs mpaka leo hatujawahi kufanya jambo lolote la kushangazaHayo unayo tamani yawe option ndio masomo yanayotawàla dunia,ila kwa kuwa mvivu,kwako yawe option ila kwa maslahi ya taifa yawe lazima hata itolewe ruzuku kuyaenzi na kuyaendeleza,🤔
Kumbe unajua na kiswahili!?Nani kakudanganya Tz Hakuna ukabila? Don't be silly.