Nashauri taifa limteue Paul Makonda kuwa mrithi wa Faustine Ndugulile pale WHO

Nashauri taifa limteue Paul Makonda kuwa mrithi wa Faustine Ndugulile pale WHO

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.

Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi

Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake

Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.

PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
 
Emu ifike wakati mpunguze uchawa uchwara km Kigamboni sawa atapata tu tena kwa hizi figisu za uchaguzi DAB fasta amachukua jimbo la Kigamboni ila WHO sio Arusha ile kwamba ataenda kula Mshahara wa 130M kwa Mwezi changanya na marupurupu ya kutosha hapo mkewe analipwa 65M kwa Mwezi, DAB asubiri sana hana hio exposure hivi Ummy na Makamba Jr watakaa wampigie kampeni DAB au JK akae anampigia kampeni DAB hao anaowapigia hizo kampeni watamuonaje?
 
Wakuu,

Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.

Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi

Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake

Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
Nyie watu wa CCM hovyo kabisa. Mnafikiri kila nafasi ya uteuzi anaweza kuteuliwa mtu wa darasa la saba.
 
Emu ifike wakati mpunguze uchawa uchwara km Kigamboni sawa atapata tu tena kwa hizi figisu za uchaguzi DAB fasta amachukua jimbo la Kigamboni ila WHO sio Arusha ile kwamba ataenda kula Mshahara wa 130M kwa Mwezi changanya na marupurupu ya kutosha hapo mkewe analipwa 65M kwa Mwezi, DAB asubiri sana hana hio exposure hivi Ummy na Makamba Jr watakaa wampigie kampeni DAB au JK akae anampigia kampeni DAB hao anaowapigia hizo kampeni watamuonaje?
Apate Kigamboni ya wapi?
 
Wakuu,

Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.

Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi

Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake

Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.

PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Hana vigezo vya ku serve hiyo nafasi. WHO si shirika la urithi, ndugulile ali qualify sababu alikuwa na vigezo. Paul makonda hana such cv, let slone hajawi serve kwneye hiyo career
 
Wakuu,

Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.

Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi

Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake

Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.

PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Makonda anaweza uchawa tu na propaganda! Mambo ya kutumia akili hawezi. Isitoshe yeye hakusomea masuala ya Afya.
 
Back
Top Bottom