Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeti vile vya Koromije au?Alisema yeye ni kiongozi wa watu na ametumwa kuwatumikia wananchi.
Kama ameweza kuwatumikia wana Arusha anashindwa nini kutumikia Waafrika?
Au Waafrika sio wananchi? Vyeti anavyo akapeleke apate nomination
Tuna madaktari wengi wanaoweza kwenda huko DAB unaijua CV yake ilivyo?Kushauri mtu kiongozi aliyekuwa na vyeti kuomba nomination ya kutuwakilisha kimataifa ni kutotumia ubongo?
Ulitaka aende nani mkuu? Dotto Magari?
Oooh taifa langu lenye watu wafu walio haiWakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Ndio maana nikiwa rais nitatunga sheria chawa wote wauaweTuna madaktari wengi wanaoweza kwenda huko DAB unaijua CV yake ilivyo?
Umekisikia CV yake lakini?Nafasi ni nafasi tu mkuu
Akipeleka vyeti wanaweza kumfikiria!
Hana vigezo vya ku serve hiyo nafasi. WHO si shirika la urithi, ndugulile ali qualify sababu alikuwa na vigezo. Paul makonda hana such cv, let slone hajawi serve kwneye hiyo career
Vyeti vya kuzaliwa?Umekisikia CV yake lakini?
Dah ,una masihara mkuuWakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Mimi napendekeza apelekwe Lucas Mwashambwa
Vyeti vyakuzaliwa ndiyo makonda atapeleka WHO kwenda kuonyeaha huko?Vyeti vya kuzaliwa?
Vyeti viko wapi?Wakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?