Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huko atakwenda nani.paul makonda au daudi bashite?Kushauri mtu kiongozi aliyekuwa na vyeti kuomba nomination ya kutuwakilisha kimataifa ni kutotumia ubongo?
Ulitaka aende nani mkuu? Dotto Magari?
Masters ya kuteka na kutesa na kuuwa R I P Ben Sanane. Pole Lissu kwa ulemavu wa kudumuMakonda amesomea nini? Ana Bachelors ya kitu gani?
Kama unasema hana qualifications za udokta maana yake kuna vitu vingine atakuwa amebobea.
Vina majona tofauti ujueVyeti vyakuzaliwa ndiyo makonda atapeleka WHO kwenda kuonyeaha huko?
Akifika huko WHO atatumia jina lake halisi la DAB, au ataendelea kutumia hili la mtu mwingine?Wakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Kuna mtu kasema atapeleka vyeti vya kuzaliwaVyeti viko wapi?
Wagonjwa na wazima wa afya watabakia wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila wakisikia sauti yangu.Mimi napendekeza apelekwe Lucas Mwashambwa
unatumia nn kufikiri na kusema hivyoWakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Wanazani kwenda kufanya kazi WHO ni kama makalio kila mtu anayoAkifika huko WHO atatumia jina lake halisi la DAB, au ataendelea kutumia hili la mtu mwingine?
Sasa kama educational background tu imeshamtoa kwenye kinyang’ganyiro, hayo mambo mengine dont count likija suala la kupata nafasi za juu kwenye mashirika ya kimataifaMakonda amesomea nini? Ana Bachelors ya kitu gani?
Kama unasema hana qualifications za udokta maana yake kuna vitu vingine atakuwa amebobea.
Watuondolee Prof. Janabi tupumue kidogo 😂😂😂Rais kasema watam-nominate mtu mwingine. Kuna shida gani wakampeleka Makonda?
WHO ni UN halafu makao makuu ya UN ni NEW YORK na Kaka kule amepigwa BAN. Huu ushauri na mapendekezo yako hayana msingi. Jaribu tena baadae 🤣🤣🤣Wakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Makonda akili yake ni ndogo haifit ile postWakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Hivi Ney alitoka salama kwenye hii mistari(Hakutekwa)?"Samahani mheshimiwa hivi unamjua Bashite..
Hili ni jipu jipya toka Koromije..
Limesha iva na usaa limeshatunga..
Nakukabidhi sindano ya kulidunga..
Daktari haogopi ukubwa wa kidonda..
We si Dr wa majipu tumbua hakuna kuvunga.."
Darasa la saba BWaje tujadili. Kuna shida gani Makonda kupata nomination?
Si ana vyeti