Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Bashite si alipata yai kwenye elimu yake.
Kwani ana utaalamu wa afya?
Au udhani WHO ni tawi la CCM??
Kwani ana utaalamu wa afya?
Au udhani WHO ni tawi la CCM??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa Z weka N na baada ya hapo sina mpango wa kuwa ktk uzi huu.Mkuu hii ni nini umeandika?
Acheni kumpa pressure mwenzenu 😄😄😄Yuko tayari kupima DNA kwanza kabla ya kwenda, ili kufahamu ile sintofahamu ya kipindi kile cha Kolomije?
unatumia nn kufikiri na kusema hivyo
Kwani waganga wa tiba asili hawakubaliki wala kuruhusiwa?😂😂😂anapaswa kuwa daktari wa binadamu mkuu
Eeee🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani
Swala la Kigamboni lilishaisha kitambo, kabla hata Ndugulile hajaenda WHO. Wapambe wa DAB seems bado wapo 2020Ya Ndungulile aliemuangusha kwenye zile kura za maoni sasa hivi udenda unamtoka huko analitamani hilo jimbo toka enzi na enzi ndoto ya DAB ni kuingia bungeni akagonge meza zile
hawatambuliwi na WHO mkuuKwani waganga wa tiba asili hawakubaliki wala kuruhusiwa?😂😂😂
NdioIsaac Maro si ni yule wa Clouds?
Siku mambo yakikaa vibaya we uje tu nikufanyie upembuzi yakinifu🤣🤣🤣🤣🤣 wacha bwana!!
Basi tukuteuwe wewe kwani huna vyeti hata vyakuzaliwa? Utaunganjsha na NIDAHujaelewa uzi huu
Soma tena!
Dr Ndugulile (R.I.P) alikuwa Daktari wa tiba kwa taaluma, ni moja ya kigezo alichoteuliwa kwa nafasi hiyo ya WHO. Makonda sidhani kama ana taaluma ya udaktari wa tiba. Mbali na soft skills kama za Makonda pia inahitajika hard skills. Maana yake ni sawa na Afisa Sheria au Afisa Misitu ateuliwe kuwa Mganga Mkuu (DMO au RMO) kitu ambacho haiwezekani.Rais kasema watam-nominate mtu mwingine. Kuna shida gani wakampeleka Makonda?
Nilijua labda Hilo litambeba ha ha hahawatambuliwi na WHO mkuu
Dr Isaac Maro hana political/managerial experience kwenye public/international organisation. Yeye apambane na Ile Zahanati YakeVp Kwa Mpaji na Dr Isaac Maro
Anazani nakule kuna kamati ya ufundi na kutoa maagizo Kwa walimu 😂Kweli ukichaa unazidi kushika kasi Tanzania. Mtoa mada anafikiri nafasi ya WHO ni kama uenyekiti wa mtaa unapewa tu.