Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Kama anaenda kuteka watu Sawa .Rais kasema watam-nominate mtu mwingine. Kuna shida gani wakampeleka Makonda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anaenda kuteka watu Sawa .Rais kasema watam-nominate mtu mwingine. Kuna shida gani wakampeleka Makonda?
Ni mtu mmoja.Mkuu unamuongelea Bashite au Makonda?
Dr Ndugulile (R.I.P) alikuwa Daktari wa tiba kwa taaluma, ni moja ya kigezo alichoteuliwa kwa nafasi hiyo ya WHO. Makonda sidhani kama ana taaluma ya udaktari wa tiba. Mbali na soft skills kama za Makonda pia inahitajika hard skills. Maana yake ni sawa na Afisa Sheria au Afisa Misitu ateuliwe kuwa Mganga Mkuu (DMO au RMO) kitu ambacho haiwezekani.
Ukielewa wewe inatosha.Umepanic nini sasa mkuu?
Seems like hujaelewa huu uzi kabisa
Pole sana!
Huko mama ni brain tu ndiyo inatumika siyo maguvu!Wakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
We unataka makonda akateke watu huko ndo ufurahi?Aende kupiga magoti kwa viongozi wa kidunia kama anavyofanyaga wakati anaenda kuomba kura huko Tanga?
Hello no!
Tunamtaka Makonda
Mr. Mindyou, mind you!!!Wakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?
Pale unapoweka tui kwenye chai ya iliki. Nyie ndio vijana tunataka kuwaachia nchi. Mungu anusuru hili taifa.Wakuu,
Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu.
Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi
Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa vyeti vipo na ana elimu ya kutosha kiasi cha kuwa mkuu wa mkoa, kiukweli kwenye nchi hii ya watu Milioni 60 sidhani kama kuna mtu mwingine yoyote qualified zaidi yake
Makonda ni muda wako sasa wa kupeleka vyeti ili upate nomination pale WHO na uweze kwenda kimataifa.
PIA SOMA
- Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?