Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Morogoro hapo zamani ulikuwa mji wa starehe, watu walikuwa wanakwenda toka Dar. Ijumaa na wanarudi Jumapili, kufa kwa bendi za muziki kuliashiria kufa kwa mji wa Morogoro na hivi sasa ni mji uliojaa wezi na vibaka, hakuna anayekwenda huko.Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May 27.
Wataalamu wa sekta, Nashera imekumbwa na nini au ameamua kuuza akaangalie usawa mwingine?
Pia, soma=> Hali ikiendelea hivi, Nashera hotel nayo itafungwa!
View attachment 2980825
Nyokooo wee!!fyuuuu Ndani [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Morogoro hapo zamani ulikuwa mji wa starehe, watu walikuwa wanakwenda toka Dar. Ijumaa na wanarudi Jumapili, kufa kwa bendi za muziki kuliashiria kufa kwa mji wa Morogoro na hivi sasa ni mji uliojaa wezi na vibaka, hakuna anayekwenda huko.
Nani alikugharamia?Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Mie mwenyewe, nlikaa cku chache tyuu.Nani alikugharamia?
Kwa gharama ile bila kuwa na sponsor, ni wazi baba yako Bhakresa.Mie mwenyewe, nlikaa cku chache tyuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliitunza pocket money ya miaka 6 ndo nkaenda kutaliii hapo.Kwa gharama ile bila kuwa na sponsor, ni wazi baba yako Bhakresa.
priiiii mpaka kileleni 😂Nyokooo wee!!
Hahahahaha..watu wakawanapiga mchokochoSio ulienda kujifungia sema ulifungiwa ukilitumikia rungu laini
Em kwendraaa!!! Afu hujaenda [emoji547]? Au ndo umetoka misa ya 1?priiiii mpaka kileleni [emoji23]
Sawa sawa usemaloMorogoro hapo zamani ulikuwa mji wa starehe, watu walikuwa wanakwenda toka Dar. Ijumaa na wanarudi Jumapili, kufa kwa bendi za muziki kuliashiria kufa kwa mji wa Morogoro na hivi sasa ni mji uliojaa wezi na vibaka, hakuna anayekwenda huko.
Ntakujibu jioni baada ya ratiba za misa zote kuishaEm kwendraaa!!! Afu hujaenda [emoji547]? Au ndo umetoka misa ya 1?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza? Yamepita hayo. Kila kitu na wakati wake. Bora wewe kuliko wanaokwenda wakiwa na majukumu ili Kufidia walichokikosa wakiwa vigori, mwisho wa siku wanaonekana machizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliitunza pocket money ya miaka 6 ndo nkaenda kutaliii hapo.
Nimecheka had baas, hamna mtu ukijitafuta na ukijipata unaenda kutalii sehem ambayo hata ukimaliza savings unasema aaah tunaishi mara 1Umeanza? Yamepita hayo. Kila kitu na wakati wake. Bora wewe kuliko wanaokwenda wakiwa na majukumu ili Kufidia walichokikosa wakiwa vigori, mwisho wa siku wanaonekana machizi
Trokaaaaah hapaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ntakujibu jioni baada ya ratiba za misa zote kuisha
Ulisoma kwenye ile shule ukuta wake unapakana na mochwari?Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Wadanganye wa juzi! Hata mtoto wa Mo au Samia hawezi fanya hiyo kitu bila msaada wa wazazi au sponsor siye. Tuyaache maana siku hizi marufuku kutuma hela kumbukaNimecheka had baas, hamna mtu ukijitafuta na ukijipata unaenda kutalii sehem ambayo hata ukimaliza savings unasema aaah tunaishi mara 1
😂 nmechelewa kidogoo nikaona nisubiri baadae kama ratiba haitoingiliana, niombeeTrokaaaaah hapaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaweza, labda sio vipaumbele vyao!! Afu huku mwshoni sijaelewa.Wadanganye wa juzi! Hata mtoto wa Mo au Samia hawezi fanya hiyo kitu bila msaada wa wazazi au sponsor siye. Tuyaache maana siku hizi marufuku kutuma hela kumbuka