Nashera Hotel yawekwa sokoni, nini kimeikumba?

Nashera Hotel yawekwa sokoni, nini kimeikumba?

Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May 27.

Wataalamu wa sekta, Nashera imekumbwa na nini au ameamua kuuza akaangalie usawa mwingine?

Pia, soma=> Hali ikiendelea hivi, Nashera hotel nayo itafungwa!

View attachment 2980825
Morogoro hapo zamani ulikuwa mji wa starehe, watu walikuwa wanakwenda toka Dar. Ijumaa na wanarudi Jumapili, kufa kwa bendi za muziki kuliashiria kufa kwa mji wa Morogoro na hivi sasa ni mji uliojaa wezi na vibaka, hakuna anayekwenda huko.
 
Morogoro hapo zamani ulikuwa mji wa starehe, watu walikuwa wanakwenda toka Dar. Ijumaa na wanarudi Jumapili, kufa kwa bendi za muziki kuliashiria kufa kwa mji wa Morogoro na hivi sasa ni mji uliojaa wezi na vibaka, hakuna anayekwenda huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.

Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Nani alikugharamia?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliitunza pocket money ya miaka 6 ndo nkaenda kutaliii hapo.
Umeanza? Yamepita hayo. Kila kitu na wakati wake. Bora wewe kuliko wanaokwenda wakiwa na majukumu ili Kufidia walichokikosa wakiwa vigori, mwisho wa siku wanaonekana machizi
 
Umeanza? Yamepita hayo. Kila kitu na wakati wake. Bora wewe kuliko wanaokwenda wakiwa na majukumu ili Kufidia walichokikosa wakiwa vigori, mwisho wa siku wanaonekana machizi
Nimecheka had baas, hamna mtu ukijitafuta na ukijipata unaenda kutalii sehem ambayo hata ukimaliza savings unasema aaah tunaishi mara 1
 
Nimecheka had baas, hamna mtu ukijitafuta na ukijipata unaenda kutalii sehem ambayo hata ukimaliza savings unasema aaah tunaishi mara 1
Wadanganye wa juzi! Hata mtoto wa Mo au Samia hawezi fanya hiyo kitu bila msaada wa wazazi au sponsor siye. Tuyaache maana siku hizi marufuku kutuma hela kumbuka
 
Wadanganye wa juzi! Hata mtoto wa Mo au Samia hawezi fanya hiyo kitu bila msaada wa wazazi au sponsor siye. Tuyaache maana siku hizi marufuku kutuma hela kumbuka
Wanaweza, labda sio vipaumbele vyao!! Afu huku mwshoni sijaelewa.
 
Back
Top Bottom