Nashindwa kabisa kumuelewa Tundu Lissu, moja kati ya wanasiasa niliokuwa nawakubali sana

Nashindwa kabisa kumuelewa Tundu Lissu, moja kati ya wanasiasa niliokuwa nawakubali sana

Hata Mimi Mwanzoni nilikua simuelewi ila nilivyopata nafasi ya Kumsikilia Mbowe na Wenje, moja kea moja nikamuelewa Lissu

Mbowe kapanga safu Mpya ya Uongozi ya Kumkubalia kila kitu(ndiyo bwana mkubwa)

Ukiangalia hiyo safu yake ya sasa haina ushawishi kwa wanachama na wananchi ukimtoa Sugu, kuwaweka mbali na maamuzi akina Lema,Heche na Lissu Sijui analipeleka wapi Chama huyu Mzee
 
SIMTETEI YOYOTE, MBOWE SINA UCHAWA NAYE, MY FAVORITE POLITICIAN WAS LISU FOLLOWED BY MBOWE. NILITAMANI AMWACHIE LISU,,...LAKINI KWA BEHAVIOUR HII YA LISU hapana! hapana, hapana.

LISU ATASABABISHA HATA CHAMA KIFUTWE. MFANO SAMIA AKIAMUA KUKIFUTA LISU ATAMFANYA NINI? ULISHAWAHI KUJIULIZA HILO? Most probably utasema hawezi!!!!!!
Kama wewe siyo chawa wa Mbowe, na humkibali Lissu wala Mbowe, gombea na wewe uenyekiti, acha kutupigia kelele. Beannered please!
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Huyu ana ajenda ya kuimaliza Chadema. Sikuwahi kujua Lissu ni kixhwa nazi kiasi hiki.
 
kwahiyo demokrasi inakuwa defined na ukomo wamadaraka?
My thinking ni kuwa as long as katiba inaruhusu na watu wamekuchagua bila mizengwe, then that is democracy on this aspect
Ndio term limit ni muhimu.

Hiki kitu Chadema huwa hawakizungumzi mara kwa mara?

Hata Mbowe ashakisema, madaraka yana tabia ya kulevya.

Mbowe kafanya makubwa kwa miaka 21 ila kwa sasa apumzike apatikane kiongozi mpya kuna vitu amefeli kwa miaka ya karibuni.

Chama kilipoteza wabunge kwa hila za Magufuli 2020 akaweka azimio bila tume huru na katiba mpya hakuna kushiriki uchaguzi mwingine.

Ajabu 2024 chama kimeingia kushiriki igizo lile tena bila hivyo vitu viwili na kimeshindwa [hili halihitaji shahada kujua kingeshindwa ] kutokana na muundo wa tume inavyopatikana na kukosekana kwa katiba inayowajibisha watawala.

Sasa unafikiri kwa hali iliyopo si kitashiriki tena upuuzi wa 2025 halafu nyimbo za "tumeibiwa" ziendelee humu , yaani hujifunzi mara 3 , 2005 uibiwe, 2015 uibiwe, 2020 uibiwe na bado umo tu?

IMG_20241221_212252.jpg
 
Ndio term limit ni muhimu.

Hiki kitu Chadema huwa hawakizungumzi mara kwa mara?

Hata Mbowe ashakisema, madaraka yana tabia ya kulevya.

Mbowe kafanya makubwa kwa miaka 21 ila kwa sasa apumzike apatikane kiongozi mpya kuna vitu amefeli kwa miaka ya karibuni.

Chama kilipoteza wabunge kwa hila za Magufuli 2020 akaweka azimio bila tume huru na katiba mpya hakuna kushiriki uchaguzi mwingine.

Ajabu 2024 chama kimeingia kushiriki igizo lile tena bila hivyo vitu viwili na kimeshindwa [hili halihitaji shahada kujua kingeshindwa ] kutokana na muundo wa tume inavyopatikana na kukosekana kwa katiba inayowajibisha watawala.

Sasa unafikiri kwa hali iliyopo si kitashiriki tena upuuzi wa 2025 halafu nyimbo za "tumeibiwa" ziendelee humu , yaani hujifunzi mara 3 , 2005 uibiwe, 2015 uibiwe, 2020 uibiwe na bado umo tu?

View attachment 3184068
Unadhani Lisu atamlazimisha Samia kufanya anayouataka. Anatafuta risasi za pili. By the way ametangaza confrontation, ngoja tuone atakavyo fanya hiyo confrontation na Samia!
Kuna wakati mazungumzo ndiyo njia kama hakuna nguvu ya Umma. Asitegemee Kuna mtanzania ataingia barabarani kufa... Sisi mimmaiti kama alivyosema Kenyatta
 
Lisu ni mtu wa hamsha hamsha ila sio kiongozi mzuri sijui kama kwenye jimbo lake kuna rekodi au alamo yeyote ameachs kama kiongozi amaweka kama ipo nisahihishwe tafadhali.
 
No, sitakujibu......., please thoroughly analyze Lisu's recent behavior! particularly in terms of relationship with his team mate in his party
Kuna wakati nashindwa kuelewa Lissu anataka nini haswa.
 
Unadhani Lisu atamlazimisha Samia kufanya anayouataka. Anatafuta risasi za pili
Serikali kuua wapinzani haijaanza leo , tutakuwa tumeona mtu alichokisimamiia alikiishi, imagine vijana kama kina Soka waliopigania chama leo hawajulikani walipo na mwenyekiti wa chama anaungwa mkono na watesi na haonyeshi kuwa na mrengo tofauti na watesi ni sawa?
. By the way ametangaza confrontation, ngoja tuone atakavyo fanya hiyo confrontation na Samia!
Baada ya uchafuzi 2020 , Samia akiwa mshiriki alisema "hata ukipigia kwingine CCM ndio itaunda serikali" ni Mbowe aliyetoa maazimio hakuna uchaguzi tena bila katiba mpya wala tume huru sasa 2024 Chadema ilishiriki hivyo vitu vikiwepo?
Kuna wakati mazungumzo ndiyo njia kama hakuna nguvu ya Umma. Asitegemee Kuna mtanzania ataingia barabarani kufa... Sisi mimmaiti kama alivyosema Kenyatta
Mazungumzo yamefeli muda tu Samia alishasema katiba ni kijitabu halafu aliporuhusu wapinzani kufanya mikutano ya kisiasa alidhani ile ni turufu ya kusifiwa ilhali ni haki kikatiba na sio zawadi.

Mzee Kibao mwanachama kauwawa mwezi wa 3 sasa kama chama kimeshindwa kutumia njia kushinikiza serikali kuchukua hatua juu ya hilo?

Pengine hata muitikio wa maandamano ya kupinga utekaji ulikuwa mdogo baada ya watu kupoteza imani na Mbowe.

Mimi nimeshuhudia madikteta waliokuwa wakiogopwa na wamepandikiza askari hadi ngazi za chini ila wananchi wakichoka hakuna jeshi wala kitu chochote kitawarudisha nyuma, naona watu wako njia panda watu waliotarajia wawape katiba hawana matumaini tusubiri tu msukumo wa wananchi bila vyama hivi ndio tutapata katiba mpya na tume huru.
 
LISU ATASABABISHA HATA CHAMA KIFUTWE. MFANO SAMIA AKIAMUA KUKIFUTA LISU ATAMFANYA NINI? ULISHAWAHI KUJIULIZA HILO?
Ziko njia nyingi za kuishinikiza Serikali sio lazima Chama, angalia tu GenZ Kenya walilianzisha bila Vyama na REFORMS zikafanyika.

Tukiogopa Chama kufungiwa basi tutakuwa Vibaraka tu milele.
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Badala ya kumlaum mbowe, anaetaka kukiua chama kwa tamaa zake, unamuandama lissu?

PUNGUZA UCHAWA.
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Kwa jambo gan unaloona linafanya usimwelewe ???
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo

Mkuu ni kwamba Lisu kutaka kugombea uenyekiti amegusa maslahi yako nini. Naona kila siku siku hizi unaanzisha nyuzi si chini ya 2 kumlalamikia. Mbona ni kama amekuumiza sana. Ni lazima Mbowe awe mwenyekiti wa cdm tu?
 
Mkuu ni kwamba Lisu kutaka kugombea uenyekiti amegusa maslahi yako nini. Naona kila siku siku hizi unaanzisha nyuzi si chini ya 2 kumlalamikia. Mbona ni kama amekuumiza sana. Ni lazima Mbowe awe mwenyekiti wa cdm tu?
Very true! Nimeumia kweli maana chadema niliipenda sana na Lisu was my favorite mwanasiasa. Nilimpenda kwa uhodari wa kujenga hoja akiwa bungeni na nje ya bunge. A very good guy! One to admire

SASA, uenyekiti umemkengua. Huwezi kuua chama ambacho kimekufikisha hapo ulipo! Chadema is heading to a grave like CUF , NCCR Mageuzi, and the rest of the so called vyama vya siasa!
Kuna wakati wa kusema ukweli na kunyamaza kusema Ukweli ambao unaona utaisambatatishha famlia. Usipoliona hilo...HUNA BUSARA, HUFAI KABISA.

Yanayojadiliwa ndani ya Baraza la mawaziri huwa ni siri....unless yameruhusiwa kutangazwa, likewise kwenye vyama vyetu. sasa Lisu anatoa siri za ndani ya chama kama vile hakuwa sehemu ya maamuzi! Huyo ni hatari..kisa Uenyekiti!
 
Back
Top Bottom