Hehehe heeheee...alitujib mbofumbofu kwenye huo uzi!Ule uzi alituchamba tuliokuwa tunamshauri tofauti na mawazo yake ningejua jinsi ya kuweka uzi ningeuweka ili watu wasisumbuke kumshauri apambane na hali yake[emoji53]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] kiruuuatakuwa alikutia vzr uongo
sasa kama unampenda unavunga nn sasa, go back work things out mateso mengine unajitakia tuMimi ni ke
Hauko mwenyewe, this's my situation right now[emoji26]Ninafanya Mambo yangu na huu Ni mwezi wa tano, najatikbunkuwa na furaha Kama kuhave fun na rafiki zangu, but nikiwa tu mwenyewe mawazo juu yake yanarudi
[emoji19][emoji19] nilidhan ni mimi tu ndio inanitokea hii hali kumbe tupo wengi polee dearNinafanya Mambo yangu na huu Ni mwezi wa tano, najatikbunkuwa na furaha Kama kuhave fun na rafiki zangu, but nikiwa tu mwenyewe mawazo juu yake yanarudi
What exactly do you want??!Kumbuka na yeyehajafuta namba yangu lakini hatuongeleshani wote, Mara ya Kwanza birthday yangu ndo iliturudisha katika mahusiano, aliniwishi heri ya kuzaliwa nikamjibu na zawadi juu basi tukarudisha mawasiliano, Sasa ninaona karibia siku yangu inafika asije akatumia njia hiyo tujarudiana
The guy belongs to you.Ninafanya Mambo yangu na huu Ni mwezi wa tano, najatikbunkuwa na furaha Kama kuhave fun na rafiki zangu, but nikiwa tu mwenyewe mawazo juu yake yanarudi
Wanahesabika sasa shost?!!!? Nishajisahaulia mwenyewe
Ni kweli maana wewe ni bikraKahaba hawana mapenzi
Kwa kweli,maanaKwako kukiwa ucku[emoji14][emoji14] mwenzio ndo kwanza
Kwake jua lmechomoza[emoji1][emoji1][emoji1]alfajir
Sasa kama humpendi unashindwa nini kufuta namba?.Mm nimeshaamua kuachana, chakufanya nipe tu mbinu ya kumsahau, kutofuta namba Ni kigezo Cha kupendana?
Atanisagia kunguni
Cheki comment niliyomjibu eve
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ule uzi alituchamba tuliokuwa tunamshauri tofauti na mawazo yake ningejua jinsi ya kuweka uzi ningeuweka ili watu wasisumbuke kumshauri apambane na hali yake😕
Asante Mpendwa Walimwengu endeleeni kumshauriNaishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa
Habari zenu wanaJF Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39]) Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja. Suala lililonileta kwenu. Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto...www.jamiiforums.com