Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Malaya wameingia kwa Kasi hapa JF.kumbe unawaza kama mm
Ushawahi kuona Mamba anavyokula? Hakuna mamba anayekula mtu huku anacheka...Mara zote anakua analiaMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We endelea tu, kuna siku isiyo na jina mchizi atachoka, atakuvizia usiku atakutwanga spana ya kichwa akili ikukae sawa.
Mme wako ni mwanamke au mwanaume?Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
hahaaaa marwa wambura niko hapa mkuu...ntamtema muraaa mpaka uso uwe kama kagongwa na treniNailaswrty Mimi nitakusaidia kwa kukuunganisha na kijana Marwa, huyu atakutandika kwa mapanga na visu mpaka roho yako ifurahi!
Samahani wakuu....
Minaona kama vile jf imevamiwa...[emoji848][emoji849]
Hujamloga kweli ww...? That's not a man. A man never cries easilyMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
ukija kusiki ana mwanamke utajiskiajeMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah yaaan wee nakugawa bureeeh lolSasa kwanin ulimwekea limbwata mwenzio ona sasa
Umeelewa ulichoulizwa?Ndyo nampa kila kitu na mapenz pia
AiseeKidogo