Nashukuru baada ya mke wangu kuondoka, pesa inaonekana mfukoni

Chukua five [emoji2935][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujakua. Wanzie gharama zimepungua baada ya kuoa wewe zimeongezeka ni ajabu kwa kweli.
 
Mmm una uhakika? Mbona maneno makali sana.
 
Una ushahidi mkuu
Yaani ule ushahidi usio na shaka?
Wanaume sisi huwa hatusikilizi stori
Ushahidi ninao, ugomvi wa baba yake kumla upo mahakamani mlalamikaji mama yake
 
Hongera kwa kufanikiwa kuonesha upumbavu wako hadharani
Wewe endelea kutunza siku utakapogundua unagongewa ndipo utakumbuka kwann sisi tunawalaumu wanawake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kama uwezi kucontrol pesa ukiwa mlevi,marafiki au una mke au mume itakuwa ngumu
 
Acha uchoyo na ubahili mwanaume hakwepi majukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…