Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Huyu jamaa hana hoja za msingi zaidi ya kutukana
Naona unajitahidi mno kubadilisha ID's zako Kujibizana nami baada ya Kuona hiyo ID yako nyingine naipiga Makombora ya maana.

Hakuna wa Kushindana nami hapa kwa Vita ya Maneno na ninaimudu kweli kweli halafu Kiburi changu na Jeuri yangu inatokana na IQ yangu Kubwa iliyobarikiwa vyema na Baba Muumba Mwenyezi Mungu.
 
Kuna kijana alipata Daraja la Pili kidato cha nne akaenda kusoma certificate ya miaka mitatu. Kwa Sasa ana degree ya juu kabisa na anafundisha CHUO kikuu mahali alipoanzia kazi kama "tutorial Assistant"( nimekosa kiswahili chake).

Unaangusha level Mkuu.
Usilazimishe nikubali ukitakacho Wewe na naendelea Kusisitiza kuwa Kwangu Mimi GENTAMYCINE Mtu akianza na Diploma katika Taaluma yake automatically huwa najua hakuwa na hana Akili period.

Halafu hukuwa na haja ya Kuzunguka na Kumtolea mfano huyo Jamaa yako wakati kwa Sisi wenye Akili Kubwa tumejua kuwa hapa unayejiongelea ni Wewe Mwenyewe ila unaona tu Aibu kujisemea kwakuwa unajua nawe Utadharaulika kwa Kuanzia na Diploma Kielimu kama Mwenzako Lusungo
 
Sisi wenye Akili Kubwa tumejua kuwa hapa unayejiongelea ni Wewe Mwenyewe ila unaona tu Aibu kujisemea kwakuwa unajua nawe Utadharaulika kwa Kuanzia na Diploma Kielimu kama Mwenzako @Lusung
Ha ha haaaa haaaaa!!! "Ulipolalia ndipo tulipoamkia". Unajaribu kutumia maneno haya ya kunisingizia ili ni kanushe kwa kuleta ushahidi wa jina la kijana, mahali aliposoma, na wapi anafanya kazi. Na hii ni kwa sababu unajua mara zote Mimi napenda kusema ukweli Tena kwa kutoa ushahidi.

Safari hii, sifanyi hivyo kwa maana sina nia ya kwenda kumuomba ruhusa yake huyo kijana ili niweke habari zake hapa jukwaani kwa ajili yako, ili ujisifu. Ha ha haaaa!!
 
Chuo cha vigagula, wasichana wengi hapo chuo ni vigagula, baadae nitaeleza kidada Kimoja kisukuma cha Shinyanga kiliyomfanyia jamaa yangu mmoja. Kilikuwa kinachukua Public Relations. Kilimaliza chuo 2017
 
SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.

Taarifa: habarileo_tz

Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.

Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.

Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
Bro, ulikuaga unaishi kwa Masha au Nyamalango? [emoji848][emoji848]
 
Ha ha haaaa haaaaa!!! "Ulipolalia ndipo tulipoamkia". Unajaribu kutumia maneno haya ya kunisingizia ili ni kanushe kwa kuleta ushahidi wa jina la kijana, mahali aliposoma, na wapi anafanya kazi. Na hii ni kwa sababu unajua mara zote Mimi napenda kusema ukweli Tena kwa kutoa ushahidi.

Safari hii, sifanyi hivyo kwa maana sina nia ya kwenda kumuomba ruhusa yake huyo kijana ili niweke habari zake hapa jukwaani kwa ajili yako, ili ujisifu. Ha ha haaaa!!
Naona Unacheka mbona sioni hata cha Kuchekesha hapa? au 'nanihii' zimeshanipanda hivyo unacheka cheka ukituonyesha kuwa Unahitaji 'Kushughulikiwa' zaidi Kibaikolojia?
 
Chuo cha vigagula, wasichana wengi hapo chuo ni vigagula, baadae nitaeleza kidada Kimoja kisukuma cha Shinyanga kiliyomfanyia jamaa yangu mmoja. Kilikuwa kinachukua Public Relations. Kilimaliza chuo 2017
Sasa Uchawi wa Mtu Mmoja Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kinahusika vipi hapo?

Wewe Babaako au Mamaako akiwa Mchawi Familia yenu yote utajumuishwa kuwa ni Wachawi?

Nikisema hamna Akili mnanikasirikia.
 
Naona Unacheka mbona sioni hata cha Kuchekesha hapa?
Pole sana, Mkuu!! Najua namna unavyojihisi muda huu!

Wakuu, mwenye akili kubwa ameshushuliwa, anakosa pakujificha!!!Lugha za kuudhi ndilo Chaka lake. Na hii inawezekana inatokana na ukahidi wake wa kukataa malezi mema aliyokuwa anapatiwa na waliomlea. Tumuombee Rehema za Mungu asamehewe.
 
Tanzania chuo ni NIT[emoji38]

Watu tunapiga gear za kimataifa huku na DFP, full mikaa, misosi ya kutosha,aaaaah! Shida gani bhana
Oya sure Mwanangu.. Nina Mshikaji wangu Kasoma Kozi ya mwezi Mmoja apo ya Udavo saivi anamsukuma mtu mzito serikalini!
 
kwahiyo tuliosoma diploma hatuna akili?
Binafsi siku nikipata mamlaka nazifuta form 5-6 hapa Tanzania maana ni upotevu wa muda kwa vijana wetu.

College education kwenye proffessional diploma na certificates ndio zinazalisha sana watalaam huko nchi zilizoendelea, Hata hawa experts wengi wanaokuja huku Africa wengi wako level hizo.
 
Variables za Upumbavu wako.
Hujidhalilishi peke yako, unakidhalilisha na chuo alichosoma pia; yawezekana wanajuta mtu kama wewe kupitia (kusoma) hapo. Halafu nikuulize swali: hivi ulilelewa na wazazi wako wote wawili? Kama ndivyo, basi nao unawadhalilisha, haiwezekani unatukana kana kwamba una degree ya matusi!
 
hiyo Diploma ya jamaa ya LSE ni zaidi hata ya PHD ya hapo SAUT au UDSM labda kama LSE huijui.

tuache ushabiki, Elimu ya Tanzania ni changamoto sana na haizalishi watu kweli wenye uwezo ambao unaweza kusema huyu ana degree au Masters.

Ushauri: Kama una degree za kibongobongo jitahidi sana kutafuta hela ukasome hata proffesional diploma Ulaya au Masters degree Ulaya kwenye course zinazoeleweka.

Elimu yetu ni tia maji tia maji sana.
 
SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.

Taarifa: habarileo_tz

Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.

Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.

Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
Wanasemaga et wanaosoma SAUT NI WALE WALIOKOSA UDSM AU MZUMBE JE NI KWELI?.. na wana uchungu/chuki sana na vyuo tajwa hapo juu
 
Naona unajitahidi mno kubadilisha ID's zako Kujibizana nami baada ya Kuona hiyo ID yako nyingine naipiga Makombora ya maana.

Hakuna wa Kushindana nami hapa kwa Vita ya Maneno na ninaimudu kweli kweli halafu Kiburi changu na Jeuri yangu inatokana na IQ yangu Kubwa iliyobarikiwa vyema na Baba Muumba Mwenyezi Mungu.
We boya tu huna lolote una kazi ya kujisifia tu ukishindwa hoja unatukana mara ooh eti umebadili id nakushambulia hakuna chochote

Watu wanakuona mpuuzi tu we hujui tu fanya kuchunguza
 
Sijasoma UDSM kwa sababu ya kukosa sifa ila ni the best University. Mtu kama huyu popoma ni kwamba kama ilivyokuwa kwa wengi wetu alifeli form six. Popoma kama ulifaulu sana ni div three. Huwezi pata One ukaacha UDSM ukaenda SAUT. Hiyo SAUT ni miongoni mwa vyuo hapa nchini vinavyopokea waliofeli. Nasomaga madini ya Malisa GJ ila nikikumbuka alisoma SAUT huwa stimu inakata vibaya. Kwa upande wangu kuliko nisome SAUT bora nijiunge tu VETA.
 
Chuo kikuu bora ni kile kinachotoa suluhisho la moja kwa moja la ukosefu wa ajira kwa Wahitimu wake.

Tofauti na hapo hakuna chuo kikuu bora ni mavituo ya kuzalisha majobless tu
 
Back
Top Bottom